Mlichokifanya wewe na Mag3 ndicho cha maana ...Lakini kina Nziku na wengineo waliotangulia walimkatisha tamaa ndugu yetu Shalom...Sasa hapo ndio unapojuwa hii jf...Ndugu yangu kama hayajakukuta basi huwezi kusema kitu...Ukweli uko wazi.
Jmushi mimi sikatishwi tamaa na hao watu kwa sababu najua kanuni za kimungu hivyo hao wanadamu si rahisi kunikatuisha tamaa. hebu angalia chini hata mungu mwenyewe anajua jinsi umoja unavyoweza kufanya kazi kwenye Mwanzo 11:1-7 na anakili kuwa mkiwa na umoja hamna kitu kitakacho wasimamisha. Nimetumia basic english version
11:1 And all the earth had one language and one tongue.
11:2 And it came about that in their wandering from the east, they came to a stretch of flat country in the land of Shinar, and there they made their living-place.
11:3 And they said one to another, Come, let us make bricks, burning them well. And they had bricks for stone, putting them together with sticky earth.
11:4 And they said, Come, let us make a town, and a tower whose top will go up as high as heaven; and let us make a great name for ourselves, so that we may not be wanderers over the face of the earth.
11:5 And the Lord came down to see the town and the tower which the children of men were building.
11:6
And the Lord said, See, they are all one people and have all one language; and this is only the start of what they may do: and now it will not be possible to keep them from any purpose of theirs.
11:7 Come, let us go down and take away the sense of their language, so that they will not be able to make themselves clear to one another.