Tuangalie sheria hii ya utumishi wa umma

mahirtwahir

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
613
Reaction score
313
Jeee kwa sheria hio ama nyengine ya Utumishi mtu kutumia muda wake nje ya kazi (mda wa ziada) pia anatakiwa kuomba ruhusa na asipoomba ruhusa na akasoma kwa kujilipia takua hana haki ya kufanyiwa mabadiliko ya mshahara ama kubadilishwa kada?
 
Ngoja waje wanasheria na Watumishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…