Tuangazie tuhuma walizoelekezewa Azam TV na utetezi wao

Tuangazie tuhuma walizoelekezewa Azam TV na utetezi wao

Dong Jin

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2018
Posts
968
Reaction score
2,034
Kuna tuhuma imesambaa sana kwenye mitandao ya kijamii kuwa azam tv kupitia kipindi chao cha Toonami walirusha katuni yenye maudhui ya hovyo.

Azm.jpg


Azam TV wametoa utetezi kuwa sio ukweli, na ni uzushi ili kuiharibia kwa jamii

FB_IMG_1654061420051.jpg


Sasa kama tuhuma zimepelekwa ka azam TV, kuchunguza kafanya azam TV na majibu ya tuhuma hizo yametolewa na azam TV, sisi tutaamini vipi kama ni uongo? Kwanini TCRA wasifanye uchunguzi na kutupa majibu?

NB: Dunia imeharibika sana siku hizi. Tuwe makini na michezo tunayowaachia watoto wetu washinde wanaiangalia siku nzima! Tutakuja kujuta wakati muda umeenda.
🤝🤝🤝
 
Niliwahi kuona humu, wamesemwa kuwa na tuhuma za udini kisha ukanda, hakukuwa na wa kulizungumzia hilo, nadhani halikuwa na impact yoyote kwa jamii.

Kuna ukanda wa njii hii, hayo maudhui ni maarufu sana nasikia!
 
Kuna watu wanawachafua kwa makusudi. Hii imehaririwa makusudi kwa lengo la kuichafua Azam media kwa makusudi.
 
Kuna watu wanawachafua kwa makusudi. Hii imehaririwa makusudi kwa lengo la kuichafua Azam media kwa makusudi.
Hata kama hii tuhuma ni ya uongo lakini tujitahidi kuwa makini na michezo ambayo watoto wetu wamekuwa wapenzi wa kuifuatilia na kuiga baadhi ya mambo ya humo.... Ushoga is a real threat to our families kwa sasa kuliko janga jingine lolote
 
Back
Top Bottom