Tuanze kuwatoza kodi wafanyabiashara wanaofanya matangazo ya sauti kwenye maeneo ya biashara

Tuanze kuwatoza kodi wafanyabiashara wanaofanya matangazo ya sauti kwenye maeneo ya biashara

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Kama umewahi kutembelea maeneo ya biashara mfano Kariakoo n.k utagundua kila mahali ni kelele.

Kila mtu anatangazo lake na wakati mwingine kusababisha noise pollution kwa watu wengine.

Sasa kwanini tusianzishe kodi itakayotozwa kwa hawa wanaosababisha makelele kwenye maeneo hayo?

Ni wakati sasa kubalance mambo hayo. Embu jaribu kufikiri kila mtu akiwa na tangazo eneo la biashara hivi tutaweza kuelewa yupi ni yupi.

Eneo kama la Kariakoo watu wengi tumesha lijua tunajua ni maduka gani wanauza nguo na yepi wanauza simu. Kama ni hivyo haina haja ya kupiga makelele kama mnadani.

Tunahitaji kudhibiti kelele za matangazo yasioyalizima kwenye maeneo ya biashara.

Wote wenye sauti kubwa kwenye maeneo ya biashara mjini walipie kodi ya noise pollution.

Wale ambao hawaoni ulazima wa kulipia watakaa kimya.

Nawasilisha.
 
Were
Kama umewahi kutembelea maeneo ya biashara mfano Kariakoo n.k utagundua kila mahali ni kelele.

Kila mtu anatangazo lake na wakati mwingine kusababisha noise pollution kwa watu wengine.

Sasa kwanini tusianzishe kodi itakayotozwa kwa hawa wanaosababisha makelele kwenye maeneo hayo?

Ni wakati sasa kubalance mambo hayo. Embu jaribu kufikiri kila mtu akiwa na tangazo eneo la biashara hivi tutaweza kuelewa yupi ni yupi.

Eneo kama la Kariakoo watu wengi tumesha lijua tunajua ni maduka gani wanauza nguo na yepi wanauza simu. Kama ni hivyo haina haja ya kupiga makerere kama mnadani.

Tunahitaji kudhibiti kelele za matangazo yasioyalizima kwenye maeneo ya biashara.
Wewe unafanya biashara gani ndugu??
 
Kwangu mimi tatizo ni noise pollution na udhibiti wake ni kuweka na kusimamia sheria. Ukiweka kodi maana yake ni kuhalalisha makelele kwenye jamii. Utawezaje kumzuia mtu asipige kelele ilihali ameshakulipa kodi.
 
Eneo kama la Kariakoo watu wengi tumesha lijua tunajua ni maduka gani wanauza nguo na yepi wanauza simu. Kama ni hivyo haina haja ya kupiga makelele kama mnadani.
Hii ipo hata makanisani, unakuta watu wote wanaomba kwa sauti kali tena za juu, sasa sijui nani anamwambia nani na nani anasikilizwa na nani au nani anapingana au kusapotiana na nani
 
Wanapiga sana kelele haswa wale wa Maji makubwa mia tano... from morning to jioni why wtf naomba zile spiker zipigwe marufuku Kariakoo pia ni makazi ya watu na familia zao yatosha.. Mama Samia kama unaupiga mwingi piga marufuku hii aina mbovu ya kelele ya biashara... askari wa city wamelala kila kipindi cha kuzuia biashara holela kariakoo makelele ya wauza maji yalikata maana wakisikika wanakamatwa na vi trolli vyao sasa hivi wao ndio wanaogopewa na wagambo wa jiji
 
Back
Top Bottom