Tuanze Maombi Maalum Kwa ajili ya Ben Saanane na Watesi wa Tundu Lisu

Tuanze Maombi Maalum Kwa ajili ya Ben Saanane na Watesi wa Tundu Lisu

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Shalom!

Wapendwa tunapoelekea, kukamilisha kipindi Cha Kwaresma, nawasihi wanamaombi tuingie KATIKA Maombi Maombi Maalum ya kuitafuta ukweli Juu ya Mpendwa wetu Ben Saanane! Mpaka Sasa haijulikani yupo wapi, alikufa au yupo hai!

Watoto wake, mke wake wazazi wake wemepitia Magumu sana! Hivo Kwa Azori Gwandu na Diwani wa Kigoma!

Pia tutumie Maombi haya kumuomba Mungu awafunue waliodhamiria kumuua Lissu Ili Utukufu wa Mungu uzidi kudhihirika!

Kimsingi maombi haya yatawahusu wote walioteswa ktk kipindi Cha Miaka 6 iliyopita! Najua tuliomba sana na mengi yamejibiwa ila kuna Kila dalili za Shetani kuzidi kuaibika!

Hebu tuamke!
 
Shalom!
Wapendwa tunapoelekea,kukamilisha kipindi Cha Kwaresma,nawasihi wanamaombi tuingie KATIKA Maombi Maombi Maalum ya kuitafuta ukweli Juu ya Mpendwa wetu Ben Saanane!
Mpaka Sasa haijulikani yupo wapi,alikufa au yupo hai!.
Watoto wake,mke wake wazazi wake wemepitia Magumu sana!
Hivo Kwa Azori Gwandu na Diwani wa Kigoma!
Pia tutumie Maombi haya kumuomba Mungu awafunue waliodhamiria kumuua Lissu Ili Utukufu wa Mungu uzidi.kudhihirikaka!
Kimsingi maombi haya yatawahusu wote walioteswa ktk kipindi Cha Miaka 6 iliyopita!
Najua tuliomba sana na mengi yamejibiwa ila kuna Kila dalili za Shetani kuzidi kuaibika!
hebu tuamke!
aliyemwaga damu ya ben saanane, damu ilie na ipewe haki yake.
 
Naunga mkono hoja,nikiifikiria familia ya Ben Saanane lini watapata closure nini kilimtokea mpendwa wao,naushia kulia na kulia huku sio dalili ya uoga, ni kulia kwa hasira kubwa sana, tuna tiss inayoendeleza mateso kwa raia na sio kulinda nchi, nchi imegeuzwa ni njia ya mkato ya human trafficking syndicates, drug cartels wanatamba mitaani, money laundering (Pakistan scandal )etc etc, tiss sasa wanafanya kazi za traffic police 🚔 officers!it's craze
 
Kuombea marehemu ni sawa ila muhimu zaidi ni kupambana na wauaji ili wengine zaidi wasiuawe.

Maombi tuwaachie wazee...Vijana tupambane na hawa 'wahuni' kwa hoja kali zenye nguvu, tudai katiba mpya kwa nguvu zote, pia tushiriki kwenye shughuli za kisiasa kwa ujasiri mkuu.

CCM ndiye mtesi wetu namba moja, bila kumng'oa hata hayo maombi hayatapata kibali kwa mhusika.
 
Pia tusisahau kuomba kwa ajili ya binti Acquilina na Mawazo waliouwawa pasi na sababu na wauwaji wamefichwa
Tusiwasahau:
1. Godfrey Luena - aliuwawa kwa mapanga
2. Daniel John - aliuwawa kwa mapanga
3. Alfonsi Mawazo - aliuwawa kwa mapanga
4. Simon Kanguye - amepotezwa kama Ben
 
Jamiiforum mambo yanaanzaga hvhv polepole kumbe ndio tunaset agenda safi sana huu uzi utembee mpaka wasikie.
 
D
Naunga mkono hoja,nikiifikiria familia ya Ben Saanane lini watapata closure nini kilimtokea mpendwa wao,naushia kulia na kulia huku sio dalili ya uoga, ni kulia kwa hasira kubwa sana, tuna tiss inayoendeleza mateso kwa raia na sio kulinda nchi, nchi imegeuzwa ni njia ya mkato ya human trafficking syndicates, drug cartels wanatamba mitaani, money laundering (Pakistan scandal )etc etc, tiss sasa wanafanya kazi za traffic police 🚔 officers!it's craze
Hatar sana !!
 
Kumekucha ...Mungu halali Wala hasinziii....Uovu lazima Ushindwe!
Bwana Teta na Watesi wetu....Ukuu wako Unaonekana!
Taifa lilipitia Magumu...Baba wafunue waabike!
Kuna kipindi tulizuiwa hata kukusanyika Tumuombee Tundu Lisu😭
Haki huinua Taifa
 
Kuna WENGINE wapo magerezani Leo Kwa kusingiziwa kesi za Uongo...Baba Waangamize Watesi hao!
 
Back
Top Bottom