Tuanzie hapa kwa ishu ya Dk Mvungi

Tuanzie hapa kwa ishu ya Dk Mvungi

Mnataka tuache kufikiri juu mambo mtambuka kama: meno ya tembo. Unga. Tindikali na janga la vibastols?
 
Why intimidating others in this forum?you are interfering with person's liberty and freedom of speech!!!!!!!!!!!Hili ni jukwaa huru ambalo watu wanathubutu kuongea kwa uwazi,si lazima uwasikilize au kuwaamini wasemacho,unaweza kuwapuuza na kukaa kimya badala ya kuwaogofya!!

Freedom of speech does not mean FREEDOM OF TELLING LIES! !

Kweli ni jukwaa huru lkn halimaanishi wewe uje hapa udanganye watu halafu uniambie SI LZM NIKUAMINI!
we vipi??
Unanilazimisha nimtazame MUONGO bila kumwambia kuwa yeye ni MUONGO!?
NA km ana ushahidi ya hayo anayosema si AONYESHE!!
maneno meeengi! Utumbo mtupu!
 
sipati picha kama dr.Mvungi angekuwa ni mwanachadema na alitaka kugombea uenyekiti taifa.
 
Ushahidi tafadhali!
Maneno kama haya ukijulikana unaweza kwenda chezea mikojo segerea!
Chunga kijana!
Someone is watching you! !

If you are pointing a finger onto me; remember that always three fingers of your own are pointing back onto you!

Truth is always painful and very strange; time will tell!
 
Freedom of speech does not mean FREEDOM OF TELLING LIES! !

Kweli ni jukwaa huru lkn halimaanishi wewe uje hapa udanganye watu halafu uniambie SI LZM NIKUAMINI!
we vipi??
Unanilazimisha nimtazame MUONGO bila kumwambia kuwa yeye ni MUONGO!?
NA km ana ushahidi ya hayo anayosema si AONYESHE!!
maneno meeengi! Utumbo mtupu!

Siwezi kutoa ushahidi kwani kesi ipo mahakamani? JF imekuwa mahakama nianike ushahidi?

Kama huo tunaouamini sisi wenye akili zetu ni uongo basi njoo na ukweli unaoufahamu! Ninasubiri la sivyo na wewe nitakuweka kwenye kundi la mavuvuzela wenye lengo kuvuruga concentration kwenye undani wa mauaji ya Dr. Mvungi!!
 
Hapo juu ni mifano tu ya watu aina ya Mvungi!! So, inakuwa ni kosa la kiufundi hususani kwa upande wa jeshi la polisi ku-conclude kwamba ameuawa na majambazi!! What, if behind huo ujambazi kuna master mind ambae alipanga tukio lionekane kwamba ni ujambazi lakini kumbe ni undercover operation? Mbaya zaidi, unaweza kukuta kwamba hata kama ni undercover operation, weneyewe hawafahamu kwamba walikuwa wanatumika!
nahis ww huwa unaangalia movies za intelijensia,nami huwa najiuliza wapelelez wetu jamani huwa wanapotoka CCP wanaangali thoz movies???chukulia mfano series ya Nikita,Homeland,japo wanaigiza,ila wanajitahid kuonesha jinsi wana usalama wanavyopaswa kuwa,
huwa nashangaa unaingia ofisi ya upelelezi pale central polisi/dar hakuna hata desktop,nenda oysterbay,nenda vitui vidogo ndo hakufai kabisa,huwez ukadetect undercover kama huna exposure,na bahat mbaya raia kwa sasa wana mbinu kali zaid ya polisi,tazama ujambaz unaofanyika kwenye mabenk cku za karibuni,,,na husikii wahusika wamekamatwa,,,,,
 
Watuhumiwa wengi wa mauaji ya Dr Mvungi ni kutoka Kiwalani, Nyumba ya Placid Chaka iko Kiwalani, Placid Chaka aliweka pingamizi nyumba yake isiuzwe, Dr Mvungi akajitoa katika kesi hii na akamshauri mteja wake Kanyoni aachane na kesi hii na sasa hivi kesi hii iko chini ya Wakili Mkisi.

Je Placid Chaka alihitaji faili za Dr Mvungi katika mwenendo wa kesi hii ili aweze kupata ushindi nyumba yake isiuzwe?

Je ni Wakili Mkisi alihitaji kumbukumbu za mwenendo wa kesi nzima ili aweze kutumia katika mwendelezo wa kesi hii?

Kwanini watuhumiwa watokee Kiwalani iliko nyumba inayotakiwa kuuzwa?

Duh!!! Nimechoka hapo!
 

Watuhumiwa wengi wa mauaji ya Dr Mvungi ni kutoka Kiwalani, Nyumba ya Placid Chaka iko Kiwalani, Placid Chaka aliweka pingamizi nyumba yake isiuzwe, Dr Mvungi akajitoa katika kesi hii na akamshauri mteja wake Kanyoni aachane na kesi hii na sasa hivi kesi hii iko chini ya Wakili Mkisi.

Je Placid Chaka alihitaji faili za Dr Mvungi katika mwenendo wa kesi hii ili aweze kupata ushindi nyumba yake isiuzwe?

Je ni Wakili Mkisi alihitaji kumbukumbu za mwenendo wa kesi nzima ili aweze kutumia katika mwendelezo wa kesi hii?

Kwanini watuhumiwa watokee Kiwalani iliko nyumba inayotakiwa kuuzwa?

Duh!!! Nimechoka hapo!

Kimsingi sipingani na mwanzo wako wa kufuatilia jambo hili,ni chanzo kizuri cha kuanza kufuatilia jambo,ni moja ya chanzo cha kufuatilia,ila napenda kukusahihisha kidogo juu ya mahali nyumva za Chaka ziliko,ni Karakata,unashuka oale kituo cha airport,unavuka reli.ni nyumba nyingi na eneo kubwa sana,kiukweli kama hukumu ni kuuza nyumba za Chaka,basi hapo kuna cha kuchunguza.
 
Siwezi kutoa ushahidi kwani kesi ipo mahakamani? JF imekuwa mahakama nianike ushahidi?

Kama huo tunaouamini sisi wenye akili zetu ni uongo basi njoo na ukweli unaoufahamu! Ninasubiri la sivyo na wewe nitakuweka kwenye kundi la mavuvuzela wenye lengo kuvuruga concentration kwenye undani wa mauaji ya Dr. Mvungi!!

Mimi nafuata ripoti na uchunguzi wa chombo cha dola { polisi } na sio maneno ya mitaani kama ya kwako!

Wewe na hao makanjanga wenzako mliosema kuwa huyo Mvungi AMEUWAWA NA SERIKALI! Nyie ndio mnatakiwa kuleta ushahidi wa maneno yenu! na kama wewe una hakika na unayoropoka HEBU NENDA KITUONI UKARIPOTI BASI!
Au nenda mahakamani ukamueleze hakimu kuwa MIMI Jp Omuga mwenye asili ya kijaluo NINA HAKIKA HUYU BWANA KAUWAWA NA SERIKALI!

We unaongea kama kina mama wako jikoni!! BE THE MAN! DONT HIDE BEHIND THE CURTAINS!
Au unadhani hapa kama kule kwenu Kenya!

mnnssssssssssssssss!
 
Last edited by a moderator:
Freedom of speech does not mean FREEDOM OF TELLING LIES! !

Kweli ni jukwaa huru lkn halimaanishi wewe uje hapa udanganye watu halafu uniambie SI LZM NIKUAMINI!
we vipi??
Unanilazimisha nimtazame MUONGO bila kumwambia kuwa yeye ni MUONGO!?
NA km ana ushahidi ya hayo anayosema si AONYESHE!!
maneno meeengi! Utumbo mtupu!


Una uhakika gani kuwa huu ni uongo?
Umeshawahi kuwa na Kesi za jinai au hata ndugu yako!Unajua Wapelelezi mara nyingi wanaanzia wapi!

Kiuhalisia kifo cha Dr.Mvungi huwezi kutenganisha na kazi yake/Faini yake,take it or not.

Naamini mpaka sasa kwa zaidi ya 70% kifo chake lkimetokana na anachokiamini /faini yake.
 
Una uhakika gani kuwa huu ni uongo?
Umeshawahi kuwa na Kesi za jinai au hata ndugu yako!Unajua Wapelelezi mara nyingi wanaanzia wapi!

Kiuhalisia kifo cha Dr.Mvungi huwezi kutenganisha na kazi yake/Faini yake,take it or not.

Naamini mpaka sasa kwa zaidi ya 70% kifo chake lkimetokana na anachokiamini /faini yake.
mkuu naona umedandia treni kwa mbele! hilo jibu nimempa huyo jamaa hapo juu kutoka na maelezo aliyotoa ambayo kwa mimi na watz wengi ni uongo mtupu! huwezi kusema 100% KAUWAWA NA SERIKALI wakati wewe hata 10% ya ushahidi huna. Huo tunauita ni UONGO.
 
sawa tushasikia hiyo kesi ipo polisi....tumjadili kwanza PM mtarajiwa Alhaji Kapuya maana madhira yake kova anajifanya hauoni
 
sawa tushasikia hiyo kesi ipo polisi....tumjadili kwanza PM mtarajiwa Alhaji Kapuya maana madhira yake kova anajifanya hauoni

CDM wakiona maneno yako wanatamani kukutafuna!
Teh teh teh teh!
 
Thanx sana mkuu sina neno ila big up hiv ndio tunataka sasa hata pa kuanzia tumepapata, wengine nao wamwagike kama wanajua lolote!
 
Akili huna na uzi wako wa kisntch huuuu,kwanza wr umeesema huyu jamaa tayar keshajitoa kwenye kesi zamaan na kesi ipo kwa mtu mwngne sasa wahudisha bb su ultaka yi upost yzi tuone naww upooo
 
Mimi nafuata ripoti na uchunguzi wa chombo cha dola { polisi } na sio maneno ya mitaani kama ya kwako!

Wewe na hao makanjanga wenzako mliosema kuwa huyo Mvungi AMEUWAWA NA SERIKALI! Nyie ndio mnatakiwa kuleta ushahidi wa maneno yenu! na kama wewe una hakika na unayoropoka HEBU NENDA KITUONI UKARIPOTI BASI!
Au nenda mahakamani ukamueleze hakimu kuwa MIMI Jp Omuga mwenye asili ya kijaluo NINA HAKIKA HUYU BWANA KAUWAWA NA SERIKALI!

We unaongea kama kina mama wako jikoni!! BE THE MAN! DONT HIDE BEHIND THE CURTAINS!
Au unadhani hapa kama kule kwenu Kenya!

mnnssssssssssssssss!

Nafurahi unavyozidi kufunguka; mimi wala sijahitaja serkali kama ulivyofanya wewe hapo kwenye RED.

Bila shaka unayo mengi sana moyoni mwako kuhusu sakata la mauaji ya Dr. Mvungi (RIP)!
 
Back
Top Bottom