Tuanzishe Kampeni Google watuambie kwanini wamempa Mo Dewji umiliki wa Tanzania

Tuanzishe Kampeni Google watuambie kwanini wamempa Mo Dewji umiliki wa Tanzania

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kwenye mada "Nani anamiliki Tanzania..." Mwana JF Kinyungu akagugo kwa kutumia neno " Who is the owner of Tanzania" na jibu likaja Mo Dewji. Alipoweka hilo jibu kwenye ile mada nikadhani ni maskhara ama utani, lakini na mimi jibu likaja hilo hilo, nikashangaa sana.

Imekuwaje Google waseme Mo Dewji ndiye mmliki wa Tanzania? Je, Serikali inajua kuwa inasemwa na Google kwamba Mo Dewji ndiye mmiliki wa Tanzania?

Je, haina athari kwenye mambo mengi kimataifa, jee imeshatokea watu kuwasiliana na Mo kwa kudhani yeye ndiye anayeimiliki Tanzania?

Na wewe Gugo kwa kutumia sentesi hii "Who the owner of Tanzania" uone jibu litakuja lipi.

Tuipambanie Tanzania yetu.
 
Moderators hii mada haihusiani na ile mada "Nani anamiliki Tanzania..."

Kwenye mada "Nani anamiliki Tanzania..." Mwana JF Kinyungu akagugo kwa kutumia neno " Who is the owner of Tanzania" na jibu likaja Mo Dewji. Alipoweka hilo jibu kwenye ile mada nikadhani ni maskhara ama utani, lakini na mimi jibu likaja hilo hilo, nikashangaa sana.

Imekuwaje Google waseme Mo Dewji ndiye mmliki wa Tanzania? Jee Serikali inajua kuwa inasemwa na Google kwamba Mo Dewji ndiye mmiliki wa Tanzania? Jee haina athari kwenye mambo mengi kimataifa, jee imeshatokea watu kuwasiliana na Mo kwa kudhani yeye ndiye anayeimiliki Tanzania?

Na wewe Gugo kwa kutumia sentesi hii "Who the owner of Tanzania" uone jibu litakuja lipi.

Tuipambanie Tanzania yetu.
Unajua huu muda ukiandika Nani anamiliki Tanzania linakuja uliloandika Wewe?
 
Moderators hii mada haihusiani na ile mada "Nani anamiliki Tanzania..."

Kwenye mada "Nani anamiliki Tanzania..." Mwana JF Kinyungu akagugo kwa kutumia neno " Who is the owner of Tanzania" na jibu likaja Mo Dewji. Alipoweka hilo jibu kwenye ile mada nikadhani ni maskhara ama utani, lakini na mimi jibu likaja hilo hilo, nikashangaa sana.

Imekuwaje Google waseme Mo Dewji ndiye mmliki wa Tanzania? Jee Serikali inajua kuwa inasemwa na Google kwamba Mo Dewji ndiye mmiliki wa Tanzania? Jee haina athari kwenye mambo mengi kimataifa, jee imeshatokea watu kuwasiliana na Mo kwa kudhani yeye ndiye anayeimiliki Tanzania?

Na wewe Gugo kwa kutumia sentesi hii "Who the owner of Tanzania" uone jibu litakuja lipi.

Tuipambanie Tanzania yetu.
Jibu hili Nani mwenye Mkwanja Mrefu Tz ndiyo maana ya Google.halafu kumbuka source ya hiyo Information
 
Moderators hii mada haihusiani na ile mada "Nani anamiliki Tanzania..."

Kwenye mada "Nani anamiliki Tanzania..." Mwana JF Kinyungu akagugo kwa kutumia neno " Who is the owner of Tanzania" na jibu likaja Mo Dewji. Alipoweka hilo jibu kwenye ile mada nikadhani ni maskhara ama utani, lakini na mimi jibu likaja hilo hilo, nikashangaa sana.

Imekuwaje Google waseme Mo Dewji ndiye mmliki wa Tanzania? Jee Serikali inajua kuwa inasemwa na Google kwamba Mo Dewji ndiye mmiliki wa Tanzania? Jee haina athari kwenye mambo mengi kimataifa, jee imeshatokea watu kuwasiliana na Mo kwa kudhani yeye ndiye anayeimiliki Tanzania?

Na wewe Gugo kwa kutumia sentesi hii "Who the owner of Tanzania" uone jibu litakuja lipi.

Tuipambanie Tanzania yetu.
Google sio site inayoaminika asilimia 100 kwa literature review, hasa wikipedia
 
Google hawa chapishi habari yoyote.
Kazi ya Google ni kutafuta tu
Habari imechapishwa Wikipedia
Na Wikipedia kila mtu anauwezo wa kuweka taarifa kama vile JF
 
Google sio site inayoaminika asilimia 100 kwa literature review,
Sawa. Hapa tunazungumza kwa wale wanaoiamini na hayo majibu, " kama wanavyosema hao wenye "Literature review" kwamba "We shall not take things for Granted"
 
Back
Top Bottom