Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kwenye mada "Nani anamiliki Tanzania..." Mwana JF Kinyungu akagugo kwa kutumia neno " Who is the owner of Tanzania" na jibu likaja Mo Dewji. Alipoweka hilo jibu kwenye ile mada nikadhani ni maskhara ama utani, lakini na mimi jibu likaja hilo hilo, nikashangaa sana.
Imekuwaje Google waseme Mo Dewji ndiye mmliki wa Tanzania? Je, Serikali inajua kuwa inasemwa na Google kwamba Mo Dewji ndiye mmiliki wa Tanzania?
Je, haina athari kwenye mambo mengi kimataifa, jee imeshatokea watu kuwasiliana na Mo kwa kudhani yeye ndiye anayeimiliki Tanzania?
Na wewe Gugo kwa kutumia sentesi hii "Who the owner of Tanzania" uone jibu litakuja lipi.
Tuipambanie Tanzania yetu.
Imekuwaje Google waseme Mo Dewji ndiye mmliki wa Tanzania? Je, Serikali inajua kuwa inasemwa na Google kwamba Mo Dewji ndiye mmiliki wa Tanzania?
Je, haina athari kwenye mambo mengi kimataifa, jee imeshatokea watu kuwasiliana na Mo kwa kudhani yeye ndiye anayeimiliki Tanzania?
Na wewe Gugo kwa kutumia sentesi hii "Who the owner of Tanzania" uone jibu litakuja lipi.
Tuipambanie Tanzania yetu.