Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Aiseee!!Gugo wamechanganya kati ya Tanzania na Tanzanian Giants ambao ndiyo inamilikiwa na Mo
Ndiyo hivyo tena!!Hawa gugo bana. Mtu anauza juis, keki, maandaz na energy drink eti anamiliki Tanzania.
Unajua huu muda ukiandika Nani anamiliki Tanzania linakuja uliloandika Wewe?Moderators hii mada haihusiani na ile mada "Nani anamiliki Tanzania..."
Kwenye mada "Nani anamiliki Tanzania..." Mwana JF Kinyungu akagugo kwa kutumia neno " Who is the owner of Tanzania" na jibu likaja Mo Dewji. Alipoweka hilo jibu kwenye ile mada nikadhani ni maskhara ama utani, lakini na mimi jibu likaja hilo hilo, nikashangaa sana.
Imekuwaje Google waseme Mo Dewji ndiye mmliki wa Tanzania? Jee Serikali inajua kuwa inasemwa na Google kwamba Mo Dewji ndiye mmiliki wa Tanzania? Jee haina athari kwenye mambo mengi kimataifa, jee imeshatokea watu kuwasiliana na Mo kwa kudhani yeye ndiye anayeimiliki Tanzania?
Na wewe Gugo kwa kutumia sentesi hii "Who the owner of Tanzania" uone jibu litakuja lipi.
Tuipambanie Tanzania yetu.
Jibu hili Nani mwenye Mkwanja Mrefu Tz ndiyo maana ya Google.halafu kumbuka source ya hiyo InformationModerators hii mada haihusiani na ile mada "Nani anamiliki Tanzania..."
Kwenye mada "Nani anamiliki Tanzania..." Mwana JF Kinyungu akagugo kwa kutumia neno " Who is the owner of Tanzania" na jibu likaja Mo Dewji. Alipoweka hilo jibu kwenye ile mada nikadhani ni maskhara ama utani, lakini na mimi jibu likaja hilo hilo, nikashangaa sana.
Imekuwaje Google waseme Mo Dewji ndiye mmliki wa Tanzania? Jee Serikali inajua kuwa inasemwa na Google kwamba Mo Dewji ndiye mmiliki wa Tanzania? Jee haina athari kwenye mambo mengi kimataifa, jee imeshatokea watu kuwasiliana na Mo kwa kudhani yeye ndiye anayeimiliki Tanzania?
Na wewe Gugo kwa kutumia sentesi hii "Who the owner of Tanzania" uone jibu litakuja lipi.
Tuipambanie Tanzania yetu.
Sawa!!Jibu hili Nani mwenye Mkwanja Mrefu Tz ndiyo maana ya Google.halafu kumbuka source ya hiyo Information
Jibu limekujaje!Ni Kweli nimejaribu
Amekuja Mo na historia yakeJibu limekujaje!
Hakuna shida mradi na yeye ni CCM wanaosema wao ndiyo wenye nchi, basi tukae kwa kutulia. Labda wamemchague yeye awe mwakilishi wao.Amekuja Mo na historia yake
Kweli mkuuHakuna shida mradi na yeye ni CCM wanaosema wao ndiyo wenye nchi, basi tukae kwa kutulia. Labda wamemchague yeye awe mwakilishi wao.
Google sio site inayoaminika asilimia 100 kwa literature review, hasa wikipediaModerators hii mada haihusiani na ile mada "Nani anamiliki Tanzania..."
Kwenye mada "Nani anamiliki Tanzania..." Mwana JF Kinyungu akagugo kwa kutumia neno " Who is the owner of Tanzania" na jibu likaja Mo Dewji. Alipoweka hilo jibu kwenye ile mada nikadhani ni maskhara ama utani, lakini na mimi jibu likaja hilo hilo, nikashangaa sana.
Imekuwaje Google waseme Mo Dewji ndiye mmliki wa Tanzania? Jee Serikali inajua kuwa inasemwa na Google kwamba Mo Dewji ndiye mmiliki wa Tanzania? Jee haina athari kwenye mambo mengi kimataifa, jee imeshatokea watu kuwasiliana na Mo kwa kudhani yeye ndiye anayeimiliki Tanzania?
Na wewe Gugo kwa kutumia sentesi hii "Who the owner of Tanzania" uone jibu litakuja lipi.
Tuipambanie Tanzania yetu.
Sawa. Hapa tunazungumza kwa wale wanaoiamini na hayo majibu, " kama wanavyosema hao wenye "Literature review" kwamba "We shall not take things for Granted"Google sio site inayoaminika asilimia 100 kwa literature review,