Tuanzishe leseni kwa walevi Ili kulinda watoto chini ya miaka 18

Tuanzishe leseni kwa walevi Ili kulinda watoto chini ya miaka 18

Opportunity Cost

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2020
Posts
9,034
Reaction score
6,913
Habari wakuu.

Kuna haja ya Kuanzisha leseni ya ulevi kwa mdaraja tofauti tofauti Ili kuwa chanzo cha mapato na kulinda watoto chini ya miaka 18.

Mfano wa leseni utakuwa kama hii hapa chini 👇👇

IMG-20210720-WA0000.jpg
 
Kwani leseni za sasa hivi huku bara hazina madaraja?
 
Habari wakuu.

Kuna haja ya Kuanzisha leseni ya ulevi kwa mdaraja tofauti tofauti Ili kuwa chanzo cha mapato na kulinda watoto chini ya miaka 18.

Mfano wa leseni utakuwa kama hii hapa chini [emoji116][emoji116]

View attachment 1860593
Leseni za udereva zimefeli.. Wengi wanaozimiliki hawana vigezo..
Na hiyo ya Zanzibar ni leseni kwa ajili ya kuuza vilevi sio leseni ya mtumiaji
 
Back
Top Bottom