Tubadili mfumo wa kufundisha hesabu Tanzania

Tatizo lipo kwa walimu wanaofundisha na wanafunzi pia kwani wanafunzi wamejijengea inferiority complex, na kizazi hiki cha 2000+ hakitaki kujisumbua kabisa kufuatilia masomo bali wanataka kukaririshwa vitu vyepesi,huwezi kuitwa mtaalamu wa hesabu kwa kubobea mada moja tu mfano Algebra peke yake nawe ujiite mtaalamu wa hesabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…