Elections 2010 Tubadilike vijana...

Elections 2010 Tubadilike vijana...

mickyjager

Member
Joined
Aug 22, 2010
Posts
9
Reaction score
0
vijana waliokuwa nje wanachukulia kuwa CCM kwa sasa ni chama cha wazee hasa kwa wale vijana walioko nje, tufanyeje ili tuweze kujua hali halisi ya kila mahali kwa kuweza kufanya mikakati ambayo itafanyika ili kupata hali halisi ya huko mtaani?

Dr slaa nakuuliza swali kama uliweza kutunza ahaadi kwa mungu je? utaweza kutunza ahaadi kwa watanzania?

watanzania kufanya mambo ya kubeza mambo ambayo yamefanywa na serikali ya awamu ya nne, embu tufanye tathimini ndogo kwa nchi za jirani kama kenya nadhani hakuna mtanzania ambaye hajui hali ya wenzetu baada ya wananchi kufanya mabadiliko ya uongozi kwa kukiondoa chama tawala madhara yake sasa ni makubwa mno kwa mkenya wa sasa, maana sisi tusizoee kusema mabadiliko kwanza tujifunze kutoka kwa wenzetu waliofanya hayo waliofanya mabadiliko kama tulivyojaza kauli hii midomoni mwetu hata kama tanzania sisi ni maskini wa mali ila tujivunieni utajiri wetu tulio nao kwa amani ambao udumishwa na CCM tena ambayo haupatikani kwa nchi yeyote Duniani.
 
vijana waliokuwa nje wanachukulia kuwa CCM kwa sasa ni chama cha wazee hasa kwa wale vijana walioko nje, tufanyeje ili tuweze kujua hali halisi ya kila mahali kwa kuweza kufanya mikakati ambayo itafanyika ili kupata hali halisi ya huko mtaani?

Dr slaa nakuuliza swali kama uliweza kutunza ahaadi kwa mungu je? utaweza kutunza ahaadi kwa watanzania?

watanzania kufanya mambo ya kubeza mambo ambayo yamefanywa na serikali ya awamu ya nne, embu tufanye tathimini ndogo kwa nchi za jirani kama kenya nadhani hakuna mtanzania ambaye hajui hali ya wenzetu baada ya wananchi kufanya mabadiliko ya uongozi kwa kukiondoa chama tawala madhara yake sasa ni makubwa mno kwa mkenya wa sasa, maana sisi tusizoee kusema mabadiliko kwanza tujifunze kutoka kwa wenzetu waliofanya hayo waliofanya mabadiliko kama tulivyojaza kauli hii midomoni mwetu hata kama tanzania sisi ni maskini wa mali ila tujivunieni utajiri wetu tulio nao kwa amani ambao udumishwa na CCM tena ambayo haupatikani kwa nchi yeyote Duniani.

wengine nao wasaidie ulichoandika wala hakieleweki
 
Back
Top Bottom