mbutamaseko
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 743
- 1,071
Haijawahi na haitotokea. Kwanza kujenga nyumba ni uoga wa maisha na hofu ya masikiniumasikini wako tu ,,, kama mbwa anajengewa hotel,hospital atashindwwa kununuliwa gar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijawahi na haitotokea. Kwanza kujenga nyumba ni uoga wa maisha na hofu ya masikiniumasikini wako tu ,,, kama mbwa anajengewa hotel,hospital atashindwwa kununuliwa gar
Kwa hiyo jamaa nimemuombea na yeye kapaa Mgosi MbenaKuna kitu pengine huelewi, senior member kwa JF ni cheo [if that] cha pili tu kukipata tangu ujiunge.... unaanza kuwa Member, Senior Member, Expert Member kisha Platinum Member.
T&Cs apply.
Wewe kumbe ndio haujui utaratibu wa hizo tag, ukijiunga una kuwa Member kisha Senior member ikifuatiwa na Expert member.Expert ni mdogo, senior mkubwa mkuu mbona jamaa hawaplay fear. Ukitoka kubwa member wa kawaida unakuwa expert
Huwa inapanda kulingana na idadi ya posts zake, hata kama umejiunga 2010 kama huchangii sana unabaki kuwa Member au Senior Member tu.Kwa hiyo jamaa nimemuombea na yeye kapaa Mgosi Mbena
Hivyo vyeo mwisho wa mwezi mnapokea mishahara au vipi mbona Kama hili Jambo limekuchukulia muda sanaExpert ni mdogo, senior mkubwa mkuu mbona jamaa hawaplay fear. Ukitoka kubwa member wa kawaida unakuwa expert
Au sioExpert Ni top manyota🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyumba iko Mwanza mtaa gani?Wakuu,
Nyumba thamani yake ni milion 12, vyumba vitatu na kimoja cha nje. Imefanyiwa wiring bado umeme lakini vyote umeme na maji vyote vipo jiran tu nyumba ya pili ni kuvuta tu.
Gari nalotaka lenye thamani ya milion 8. Lisiwe bovu.
Mahali mwanza.
Kishiri -Jiji-mwanzaNyumba iko Mwanza mtaa gani?
top manyotaAu sio
mm mpenzi mtazamajiWewe kumbe ndio haujui utaratibu wa hizo tag, ukijiunga una kuwa Member kisha Senior member ikifuatiwa na Expert member.
Kutojenga ni umasikini?Haijawahi na haitotokea. Kwanza kujenga nyumba ni uoga wa maisha na hofu ya masikini
shi ngapChukua wish 2006, namba DLA
aisee uyo jamaa ivo vitu vinamuhangaishaHuwa inapanda kulingana na idadi ya posts zake, hata kama umejiunga 2010 kama huchangii sana unabaki kuwa Member au Senior Member tu.
Hongera wazanzibar na umbea mpo sambambaKwa hiyo jamaa nimemuombea na yeye kapaa Mgosi Mbena
nnMtu mmoja aseme imooooo!!!
Biashara ya hasara
Tulia ww mgeni wa jiji!Biashara ya hasara
Na kweli nduguTulia ww mgeni wa jiji!
ukishakua mwenyeji utaelewa