Tubadilishane Uzoefu: Siku Ya Kwanza kutumia Condom ilikuwaje?

Tubadilishane Uzoefu: Siku Ya Kwanza kutumia Condom ilikuwaje?

MR.NOMA

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
339
Reaction score
505
Habari za Jumapili wadau? Naomba tupeane uzoefu wote humu, men & women, siku ya kwanza unaanza kutumia mpira kufanya mapenzi ilikuwaje, ulipata changamoto zozote ?! Zipi? Ulifanyaje/ mlifanyaje kuzitatua na mwenzako mkiwa eneo la tukio. Naanza kusimulia kwa upande wangu, mimi nilikuwa kidato cha kwanza nikapendwa na mdada wa umri ulionizidi kama miaka mi 3 hivi , she was so beauty and amazing. Sasa tukapanga shoo porini maana hata pesa ya loj hatuna, mimi kwa kuwa mshua alikuwa akinionya sana juu ya mabinti na ukimwi basi nikajiongeza nikaenda dukani kununua ndom, bas tukakutana porini nikakata majani na kuyatandika chini na mrembo alivua pichu na kujilaza sasa, nikacha pakit ile nikisoma maelekezo ya namna ya kutumia bas nikaikunjua yote na kuanza ivaa, nikapambana ikanishinda. Nikatupa kule nikachukua nyingine, nikamwambia yule binti hiyo ilikuwa ndogo hainitoshi, nayo ikanishinda. Badae aliniuliza kama nishawahi fanya nikamwambia bado, bas akasema kwakuwa hata yeye bado. Tukaamua kupiga show barely. Nashukuru Mungu alikuwa hajawahi fanya, mimi ndio nilimfungua. Lete uzoefu wako kuhusu condom siku ya kwanza!!
 
Waelimisha lika walikuwa wanafundisha namna ya kuvaa hiyo mipira, na walikuwa wanaonyeshea kwenye vidole kwakuwa haikuwa rahisi kuonyesha live, kilichotokea vijana wengi walipokwenda field, na wao wakawa wanavaa vidoleni
 
Tufunguke wakuu, hamna jambo la kuficha dunia hii
 
Changamoto ni kuchomoka chomoka tu mi sikumbuki nyingine
 
Siku ya kwanza kutumia niliokota nikijua puto wacha nipulizeeeeee
Pulizaaaaaaaaaaaaaa
Pulizaaaaaaaaaaaaaa
Pulizaaaaaaaaaaaaaa

Likawa kubwaaaaaaa nikaona raha kweli kweli hapo nilikua kama na miaka Tisa hivi aiseee hapo nimetoka zangu misele nikakutana na mmama akashangaaa na kugutuka wewe mtoto hebu tupa huo uchafu umepata wapi nikajibu nimeokota
Haaaahaaa
Nikatupa bwana kwenye nyasi
Yule mama aliposepa Namwona yuleeee nikarudi kuchukua mwendo ni ule ule kupuliza tu

Sasa bwana kufika mbele nikakutana na mamdogo Cha kwanza alinizibua bao Hilo dadeq nikapelekwa nyumba ya jirani na hapo nikapewa maji ninawe na kupewa onyo kuu
Kwamba like sio pulizo pumbaf kabisa!

NB nilipokua siku ya kwanza kugegedea nilishindwa kabisa kutumia aisee nikatupa kulee!
😂😂😂😂😂😂
 
Nilimshikisha tu Manzi kila kitu akamaliza mwenyewe.😀😀
 
Back
Top Bottom