lucky sabasaba
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,656
- 1,204
Nilitoa tangazo moja kuwa kuna gari naliuza mada kubwa ilikuwa picha..picha..tujifunze kitu kimoja teknolojia inabadirika kila siku..ndio maana unapoagiza gari tra wanakutoza kodi kwa kuangalia tu chasis number ya gari lako iliyoandikwa kwenye docs za kutolea gari bandarini (BL)wewe wawezasema gari umenunua kwa $3000 tra wakasema hapana umenunua kwa $4500 kwa kuangalia tu chasis number bila kuliona gari lako wala picha ya hilo gari..wajapani wanapenda sana kufanya biashara ya magari na sisi maana tunaridhika na picha tu !!!ata mimi miaka ya nyuma niliwahinunua gari baada ya mwuzaji kuniambia ni ya mwaka 2004 na kuridhika na picha lakini siku gari lilipofika mikononi mwangu nikagundua lilikuwa la mwaka 2000!!sasa tujifunze kuuliza chasis number ile itakupa information zote za gari..manual au automatic..petrol au disel..imetengenezwa mwaka gani..ata picha ya gari..pia wawezajua kama gari unalotakanunua ni la wizi au limepata ajari nk..so unapoagiza gari iwe online etc,pindi unapouliza chasis number mwuzaji atajua ana deal na mtu anayejua hivyo uongo utapotea..wauzaji wanauwezo wa kufanya gari automatic iwe manual..left hand iwe right hand..iliyotembea maili 100000 isomeke imetembea maili 30000 na ya mwaka 1999 isomeke ya mwaka 2002 ili apate faida..lakini ukijua kutumia chasis number vyote utavijua bila tatizo lolote..teknolojia imebadirika hivyo nasi tubadirike..ata uendapo kununua spare ya gari lako sema unaitaji mfano taa ya chasis lh 184-1016215 huitaji kupiga picha wala nini..mwuzaji mzuri atakuuliza namba tano za mwanzo za chasis number yako..thanks +971504374387 dubai