..akipenda amwone ampe chochote kwani alimwona wapi.. hana NUMBER YAKE hana WALA hayupo facebook wala twitter..sura alificha alimwona wapi au alimuootah 2.??
ampe chochote atampa hata mapenzi..? ampende ivo hadi kumkaribisha kwake ale chakula chake ..duu ndio tuseme alimpenda alipomwona mara ya kwanza japo hakumwona sura mapenzi gani hayoo..?amemsubiri muda mrefu wakati hamjui? mmh wakati mwishoni anasema Aje amwonyeshe watoto wake ci itakuwa balaa kwa mkewe ..? kaka chameleone kachemka hamna ujumbe mzuri katika huuu wimbo..au mwenzangu unaonaje inawezekana labda cijauelewa vizuri huu wimbo
ampe chochote atampa hata mapenzi..? ampende ivo hadi kumkaribisha kwake ale chakula chake ..duu ndio tuseme alimpenda alipomwona mara ya kwanza japo hakumwona sura mapenzi gani hayoo..?amemsubiri muda mrefu wakati hamjui? mmh wakati mwishoni anasema Aje amwonyeshe watoto wake ci itakuwa balaa kwa mkewe ..? kaka chameleone kachemka hamna ujumbe mzuri katika huuu wimbo..au mwenzangu unaonaje inawezekana labda cijauelewa vizuri huu wimbo