zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Sio kila kitu unalazimisha mpaka waje wa kishua hata sisi Saint Kayumba mbona tuko vizuri tu! Jitambue!!Uongee na nani mkuu ? wasubiri waje wakishua uongee nao
Pretty GoodHello, how are you hommie?
Dah!Tundu Lissu alitudharau siku ileTubongee Kiitaliano...Pia
-Boia chi molla 88
Nimecheka kiboya sana😅😅😅who can Puti zisi sentensi...kingrezaHello there my wangu
@Chakorii we nikikutazama naona unakijua ila ndo vile wanaokijua huwa hawajioneshi[emoji23]Nimecheka kiboya sana[emoji28][emoji28][emoji28]who can Puti zisi sentensi...kingreza
Aliongea Ukweli Usio Semwa na Wengi Hadharani.Dah!Tundu Lissu alitudharau siku ile
Ukinitazama au ukitazama mwandiko...najifunza mdogo wangu..unaonaje ukaanza kunipigisha pindi@Chakorii we nikikutazama naona unakijua ila ndo vile wanaokijua huwa hawajioneshi[emoji23]
Nipo napuyanga tu
Haya tuanze I means Love Love means You You means You and Me Means Forever[emoji4]Ukinitazama au ukitazama mwandiko...najifunza mdogo wangu..unaonaje ukaanza kunipigisha pindi