Tuchague kipi kati Ukweli (A) na Siasa (C++)?

Tuchague kipi kati Ukweli (A) na Siasa (C++)?

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Ukweli katika maisha ya Tanzania ni unavuna njaa na kutengwa, na makasiriko ya kila mara, Siasa inakupa pesa madili na maendeleo ya vitu, dhambi kuua, uwongo na unafiki.

Fanyeni mchakato wa kupiga kura.

Ntakuja endeleeni naandaa marking schemes zote mbili.
 
Back
Top Bottom