Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,837
Anaandika Askofu Bagonza
Mbwa hubweka. Asiyebweka hata akipigwa jiwe ni “mdoli “ wa mbwa. Mbwa halisi ukimzuia kubweka, utabweka wewe.
Mbwa akibweka usiku humwamsha mwenye nyumba toka usingizini ili aione hatari iliyopo. Asipobweka, mwenye nyumba huamka kumwangalia mbwa kwa nini habweki. Kwa tendo hilo, mwenye nyumba hugeuka kuwa mlinzi wa mbwa
Tuchague kwa busara; Mbwa watulinde au tuwalinde mbwa?
Mbwa hubweka. Asiyebweka hata akipigwa jiwe ni “mdoli “ wa mbwa. Mbwa halisi ukimzuia kubweka, utabweka wewe.
Mbwa akibweka usiku humwamsha mwenye nyumba toka usingizini ili aione hatari iliyopo. Asipobweka, mwenye nyumba huamka kumwangalia mbwa kwa nini habweki. Kwa tendo hilo, mwenye nyumba hugeuka kuwa mlinzi wa mbwa
Tuchague kwa busara; Mbwa watulinde au tuwalinde mbwa?