Tuchague kwa busara, Mbwa watulinde au tuwalinde mbwa?

Tuchague kwa busara, Mbwa watulinde au tuwalinde mbwa?

Baba askofu unafikiri tatizo ni kwamba hatujui kuchagua? Tatizo ni kwamba tunachaguliwa wa kutuongoza, tena kwa penda usipende... Ndiyo maana wana jeuri ya kutuita mbwa.
 
Anaandika Askofu Bagonza

Mbwa hubweka. Asiyebweka hata akipigwa jiwe ni “mdoli “ wa mbwa. Mbwa halisi ukimzuia kubweka, utabweka wewe.
Mbwa akibweka usiku humwamsha mwenye nyumba toka usingizini ili aione hatari iliyopo. Asipobweka, mwenye nyumba huamka kumwangalia mbwa kwa nini habweki. Kwa tendo hilo, mwenye nyumba hugeuka kuwa mlinzi wa mbwa

Tuchague kwa busara; Mbwa watulinde au tuwalinde mbwa?
Kwasababu gwaji boy kashauri tuache mbwa wabweke basi tumechagua mbwa watulinde!

#NB: maaskofu hawaipangani mawazo kabisa hapa!
 
Tatizo majizi hayapendi mbwa kubweka yanajua yatakamatwa kwa wizi wao. Inasemekana mbwa hutambua hats wachawi na mashetani so kubweka kwa mbwa ni tatizo kubwa kwao
 
Back
Top Bottom