Tuchangamshe jukwaa kidogo,kwa hadithi za kichawi

Tuchangamshe jukwaa kidogo,kwa hadithi za kichawi

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Endapo upo ndani ya chumba au nyumba yako,nyakati za usiku ukawa unahisi maluwe luwe as if kuna mtu kaingia ndani but you don't see anything lakini timbwili zinazidi Fanya hivi kesho yake,japo ni hatari sana endapo muhusika atakuwa ni ndg yako

- Fagia chumba vizuri sana kila pembe kusanya taka kona moja wapo ya chumba tafuta polyp bag nyeusi kusanyia humo taka zote,funga vizuri tafuta kijiti cha mhogo wapira kiasi cha rular tatu,anza kuchapa ile bag huku ukikalipia as if ndio yule mtu usiku ukimkanya Kwa hasira,then nenda kafukie pamoja na ile fimbo makaburini,subiri sasa kama ni jirani au ndg ujue hauponae tena.

All the best.
 
Chukuwa mwiko wa kusongea ugali ambao haujaoshwa baada ya kusonga, chukuamkaa wa moto weka kwenye maji mpaka usikie psiiiiiiiiiiiiiiii. Ukipoa funga pamoja na mwiko na uweke chini ya mto ulalie. Wachawi wakija utawaona life! Ila uwe na Kinga ya kutosha kwani watafanya kikao cha kukudhuru.
 
Chukuwa mwiko wa kusongea ugali ambao haujaoshwa baada ya kusonga, chukuamkaa wa moto weka kwenye maji mpaka usikie psiiiiiiiiiiiiiiii. Ukipoa funga pamoja na mwiko na uweke chini ya mto ulalie. Wachawi wakija utawaona life! Ila uwe na Kinga ya kutosha kwani watafanya kikao cha kukudhuru.
Kisa cha kujikosesha usingizi [emoji1787][emoji1787]
 
Endapo upo ndani ya chumba au nyumba yako,nyakati za usiku ukawa unahisi maluwe luwe as if kuna mtu kaingia ndani but you don't see anything lakini timbwili zinazidi Fanya hivi kesho yake,japo ni hatari sana endapo muhusika atakuwa ni ndg yako

- Fagia chumba vizuri sana kila pembe kusanya taka kona moja wapo ya chumba tafuta polyp bag nyeusi kusanyia humo taka zote,funga vizuri tafuta kijiti cha mhogo wapira kiasi cha rular tatu,anza kuchapa ile bag huku ukikalipia as if ndio yule mtu usiku ukimkanya Kwa hasira,then nenda kafukie pamoja na ile fimbo makaburini,subiri sasa kama ni jirani au ndg ujue hauponae tena.

All the best.
Makubwa haya
 
Sisi tunaolitumia Jina la Yesu hayo tunaona ni kama hadithi! Dawa ya Wachawi omba kabla ya kulala huku ukiitia Jina la Yesu WEKA NO-FLY ZONE katika Anga ya Eneo lako.Hawatasogelea hapo!
 
Kisa cha kujikosesha usingizi [emoji1787][emoji1787]
Chukuwa mwiko wa kusongea ugali ambao haujaoshwa baada ya kusonga,

[emoji117] Ukiweka chini ya mto huo mwiko unawaona wachawi live


chukua mkaa wa moto weka kwenye maji mpaka usikie psiiiiiiiiiiiiiiii. Ukipoa weka chini ya mto

[emoji117] Hapa wachawi wakija hautowaona isipokuwa hao wachawi wataona moto unawaka kwahiyo watakimbia[emoji125][emoji125]

Ya mkaa ni nzuri kujaribu lakini hiyo ya mwiko wa ugali inabidi uwe jasiri
 
WACH
Sisi tunaolitumia Jina la Yesu hayo tunaona ni kama hadithi! Dawa ya Wachawi omba kabla ya kulala huku ukiitia Jina la Yesu WEKA NO-FLY ZONE katika Anga ya Eneo lako.Hawatasogelea hapo!
W
Sisi tunaolitumia Jina la Yesu hayo tunaona ni kama hadithi! Dawa ya Wachawi omba kabla ya kulala huku ukiitia Jina la Yesu WEKA NO-FLY ZONE katika Anga ya Eneo lako.Hawatasogelea hapo!
Wachawi wanaogopa neno IESU na siyo YESU.
 
Back
Top Bottom