Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Endapo upo ndani ya chumba au nyumba yako,nyakati za usiku ukawa unahisi maluwe luwe as if kuna mtu kaingia ndani but you don't see anything lakini timbwili zinazidi Fanya hivi kesho yake,japo ni hatari sana endapo muhusika atakuwa ni ndg yako
- Fagia chumba vizuri sana kila pembe kusanya taka kona moja wapo ya chumba tafuta polyp bag nyeusi kusanyia humo taka zote,funga vizuri tafuta kijiti cha mhogo wapira kiasi cha rular tatu,anza kuchapa ile bag huku ukikalipia as if ndio yule mtu usiku ukimkanya Kwa hasira,then nenda kafukie pamoja na ile fimbo makaburini,subiri sasa kama ni jirani au ndg ujue hauponae tena.
All the best.
- Fagia chumba vizuri sana kila pembe kusanya taka kona moja wapo ya chumba tafuta polyp bag nyeusi kusanyia humo taka zote,funga vizuri tafuta kijiti cha mhogo wapira kiasi cha rular tatu,anza kuchapa ile bag huku ukikalipia as if ndio yule mtu usiku ukimkanya Kwa hasira,then nenda kafukie pamoja na ile fimbo makaburini,subiri sasa kama ni jirani au ndg ujue hauponae tena.
All the best.