Ukaridayo
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 515
- 476
Mimi kama Mtanzania nina haki ya kutoa maoni kuhusu mambo yanayoendelea hapa nchini
Nitatoa maoni yangu kuhusu Makontena na Mgambo aliyetoa kipigo
1:KUHUSU MAKONTENA
Kwa mtazamo wangu Mimi nashauri maeneo yote ya mabondeni na kwenye misitu mikubwa swala la kuku na tairi za guta tuwaachie wanariadha ambao kwakweli wanaimba Kwaya kwa kiwango cha Stigilazi Goji
2:KUHUSU MGAMBO
Sitaki kuingia deep sana kwenye swala hili kwasababu timu kama Arsenal na Chelsea hazipo kwenye mashindano ya UEFA lakini pia barabara kuu ya Songea Masasi ambayo ni kivutio cha maji inapaswa kujengwa uzio
Ni maoni yangu jamani, sijui wengine mnaonaje.
ngoja nikatoe maoni mengine kwenye group lingine maana hapa tayari..
🤣🤣🤣
Nitatoa maoni yangu kuhusu Makontena na Mgambo aliyetoa kipigo
1:KUHUSU MAKONTENA
Kwa mtazamo wangu Mimi nashauri maeneo yote ya mabondeni na kwenye misitu mikubwa swala la kuku na tairi za guta tuwaachie wanariadha ambao kwakweli wanaimba Kwaya kwa kiwango cha Stigilazi Goji
2:KUHUSU MGAMBO
Sitaki kuingia deep sana kwenye swala hili kwasababu timu kama Arsenal na Chelsea hazipo kwenye mashindano ya UEFA lakini pia barabara kuu ya Songea Masasi ambayo ni kivutio cha maji inapaswa kujengwa uzio
Ni maoni yangu jamani, sijui wengine mnaonaje.
ngoja nikatoe maoni mengine kwenye group lingine maana hapa tayari..
🤣🤣🤣