Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
ππππππππππJamaa alikamata mwizi jikoni kwake, sasa alipo taka kupiga kelele ya mwizi, yule mwizi akamwambia mwenye nyumba unakumbuka katika Biblia nilisema nitakuja kama mwizi Usiku? Ndo nimekuja mara ya pili nawe ubarikiwe kwa kuwa nimekukuta ukikesha kama nilivyo waambia kesheni, " Jamaa akamuangalia mwizi kisha akatabasamu, akamjibu akamwambia pole kwa kuwa umeangukia tena mikononi Mwa pilato kwa mara ya pili, nami nitakusulubisha Usiku huu huu.!!!
Mwizi akazimia pale pale.
π»π»π»π»π»π»
*Usicheke peke yako*
π€£[emoji16]π€£[emoji16]π€£[emoji16]π€£[emoji16]π€£[emoji16]
saw swJamaa alikamata mwizi jikoni kwake, sasa alipo taka kupiga kelele ya mwizi, yule mwizi akamwambia mwenye nyumba unakumbuka katika Biblia nilisema nitakuja kama mwizi Usiku? Ndo nimekuja mara ya pili nawe ubarikiwe kwa kuwa nimekukuta ukikesha kama nilivyo waambia kesheni, " Jamaa akamuangalia mwizi kisha akatabasamu, akamjibu akamwambia pole kwa kuwa umeangukia tena mikononi Mwa pilato kwa mara ya pili, nami nitakusulubisha Usiku huu huu.!!!
Mwizi akazimia pale pale.
π»π»π»π»π»π»
*Usicheke peke yako*
π€£[emoji16]π€£[emoji16]π€£[emoji16]π€£[emoji16]π€£[emoji16]
Kwamba hata Yesu aliyashinda majaribu ya shetani aliyemjaribu kwa kutumia Bible. Badili jiwe liwe mkate. Ila sio "jiwe" la TZHadithi hii inatufundisha nini mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23]ππππππππππ