wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Anakuja Mchina anasema anahitaji Paka[emoji250],
ananunua mmoja kwa bei ya 20,000/=, basi
wanakijiji wanahaha kusaka Paka[emoji250],
wanawaleta mchina ananunua wote anasepa
nao. Anarudi tena anasema vipi, naona
wameadimika, sasa ntanunua kwa bei ya
35,000 Paka[emoji250] mmoja, wanakijiji wanaenda
deep zaidi msituni, kamata Paka[emoji250], leta kwa
mchina, mchina anasepa nao. Afu wiki
mnayofuatia Mchina anasema bado anataka
Paka[emoji250], saivi atanunua kwa Laki. Wanakijiji
macho yamewatoka, hawana tena paka[emoji250].
Mchina anasema basi ntaftieni kwa Laki na
Nusu. Keshoake inasikika kuwa kuna Mchagga
anauza Paka kijiji cha pili, anauza kwa
100,000/=, wanakijiji wanawahi fasta
wanaenda nunua Paka[emoji250][emoji250][emoji250][emoji250] wote wa kijiji cha
pili. Wanarudi kijijini hawana pesa ila wana
Mapaka [emoji250][emoji250][emoji250] wakijua watamuuzia mchina fasta kwa
laki na nusu, Mchina hatokei Ng'oooo!!!!
Infact, yule mchina alikuwa anawakusanya tu
na kuwahifadhi kule kijiji cha pili akijua ataja
wauza kwa 100,000/= kwa hawa hawa wa kijiji
hiki.
This is what i called business strategy.
ananunua mmoja kwa bei ya 20,000/=, basi
wanakijiji wanahaha kusaka Paka[emoji250],
wanawaleta mchina ananunua wote anasepa
nao. Anarudi tena anasema vipi, naona
wameadimika, sasa ntanunua kwa bei ya
35,000 Paka[emoji250] mmoja, wanakijiji wanaenda
deep zaidi msituni, kamata Paka[emoji250], leta kwa
mchina, mchina anasepa nao. Afu wiki
mnayofuatia Mchina anasema bado anataka
Paka[emoji250], saivi atanunua kwa Laki. Wanakijiji
macho yamewatoka, hawana tena paka[emoji250].
Mchina anasema basi ntaftieni kwa Laki na
Nusu. Keshoake inasikika kuwa kuna Mchagga
anauza Paka kijiji cha pili, anauza kwa
100,000/=, wanakijiji wanawahi fasta
wanaenda nunua Paka[emoji250][emoji250][emoji250][emoji250] wote wa kijiji cha
pili. Wanarudi kijijini hawana pesa ila wana
Mapaka [emoji250][emoji250][emoji250] wakijua watamuuzia mchina fasta kwa
laki na nusu, Mchina hatokei Ng'oooo!!!!
Infact, yule mchina alikuwa anawakusanya tu
na kuwahifadhi kule kijiji cha pili akijua ataja
wauza kwa 100,000/= kwa hawa hawa wa kijiji
hiki.
This is what i called business strategy.