Tucheke na mama zetu leo

Hii ni mamazetu wote .hapo utafikiri walimuona mamaangu huuh!r.i.p mama
Kuna ile unachapwa alafu anakwambia kimyaa..
Nilikua sijui kwa nini wanafanya hivyo..
Ila nimekuja kutambua mama anakua anaumia akimuona mwanae analia.

love thé love or hâte thé love.....
 
Huna haja ya kukimbia...ichukulie poaitive...akiongea wee cheka tu..
Siku nyingine jivike ukauzu na umtolee uvivu umpe makavu live
Umenishangaza kusema hao wamama wa bongo movie!!!!
Hao ni mama zetu huku mtaani my mom was exactly like that japo anazeeka amepoa sasa.

love thé love or hâte thé love.....
 
Ni pale unapokuwa wa kwanza kiwilaya au kimkoa unampa taarifa anaishia kuitikia Aaha.

Post sent using JamiiForums mobile app
Niliwahi kuwa wa 20 kile kipigo sijawahi kukisahau..

love thé love or hâte thé love.....
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] haaaa wazazi wetu walitufundisha vizuri kwa alama za ishara du walikuwa safi hao duu, je nasi hata robo ya hayo tunayafanya kwa watoto wetu au nikukenua tu? Au ni b kulaumu watoto wasiku hizi wakati walezi ni siye hawa hawa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii huwa inabore sana unakuta mtoto anafanya mambo ya kijinga mbele ya wageni na mzazi wake anaona sawa tuu wala hamkemei mtoto eti madai yao wanawapenda watoto wao ndio maana watoto wanawazalilisha mbele za watu hayo ni malezi ya kipuuzi mno.
Unafika ugenini unapew Soda mtt anaiwahi anapiga tarumbeta mzazi unakenua tu loh ni shida hiki kizazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwa leo mkuu unahojiwa maswali kama hayo, zamani unapata wapi ujasili/mda wa kuuliza hivyo!!!

mimi hiyo ya kutema mate iliniumiza sana aisee kuna siku nakumbuka niliagizwa dukani akatema mate chini mbio zikaanza harafu mvua ilikuwa imenyesha tope kibao si nikateleza nikapoteza hela ewaaaaa!! mkuu acha kabisa kwanza nyumbani nilirudi saa 20pm nikachezea kichapo kitakatifu harafu hakuna kula.
 
Iiuu88u ii


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni pale unapokosea wakati wageni wapo, halafu asubiri wageni waondoke upate kichapo
 


Ahsante ila wakati mwingine mtu unalazimika kutoka nje ya ndoa hata kama hauna nia ili tu upate mtu wa kukufariji. Maana unafikiria muziki unaopigwa na mkeo nyumbani ni Zaidi ya disco la watts 10000, sasa hapa utafanyaje? Kina Mama kwa kweli ndiyo wanaotufanya sie wanaume tuwakimbie na kutafuta nyumba ndogo.
 
Kukimbia kutafuta nyumba ndogo ni justification tu...
Ika haiwezi kubadili uhalisia uliopo katika ndoa yako.
Zaidi utaongeza stress na kuchochea moto.
Wanandoa wengi hawana mawasiliano mazuri.
Pia wanandoa wengi wanaishi kwa mazoea.

love thé love or hâte thé love.....
 
Utakuwa wa ubalozini wewe 99% ulilelewa na hausugeli
Karibia yote hayo yashanitokeaga pindi naishi na maza.
 
Nimechezea kichapo cha bi mkubwa mpaka basi. Nimekua mtu mzima sasa. Huwa akija kwangu namkumbusha alivyokua ananitwanga [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…