Tuchekee: Maswali na majibu ya kuudhi

Unakuta unaongea na mtu ghafla anakuuliza ..unasemaaa?

Jibu: Kama ulivyosikia
 
umembusu na kumnyegesha demu weeee mpaka kalegea kama mlenda. Unaanza kumvua chakatinakati anakuuliza unataka kufanya nini. Jibu lake nataka kwenda kufua
Hahhaha...


Kwani uzi huu unahusu nn.

Jibu lake uzinzi
 
umembusu na kumnyegesha demu weeee mpaka kalegea kama mlenda. Unaanza kumvua chakatinakati anakuuliza unataka kufanya nini. Jibu lake nataka kwenda kufua
Ha ha ha aaah!!
 
Unakutana na mtu anakwambia "sema SaaMbovu"

Unamjibu "SaaMbovu"

Anakasirika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…