Tuchel aizungumzia Real Madrid kuelekea Nusu fainali ya UEFA

Tuchel aizungumzia Real Madrid kuelekea Nusu fainali ya UEFA

Guadiola haamin ile uefa alinyukwa na Rodrigo chapchap😊
Anachosema ni kweli hawatabiriki hawa jamaa. Dakika moja za nyongeza mpira kuisha wanaweza kukupiga tatu mpaka ukajiuliza imekuaje hapa?
 
Madrid wanategemea sana counter attack hasa wakikutana na timu zinazocheza, nadhani movement za goli za Madrid ukikaa vizuri unaziona kama mtazamaji....kitu kimoja kinachowabeba Madrid ni mentality basi nadhani na attitude, Nina uhakika cha kwanza kabisa ambacho mchezaji wa Madrid anakuwa nacho au anaandaliwa kuwa nacho ni strong mentality na desires na ndio maana kwao hata mchezaji unayemchukulia poa poa always akipata nafasi Madrid anaitendea haki na hii imefanya wachezaji wengi wenye ndoto kubwa Sasa hivi kuitaka hii timu, football heritage Yao wamejitahidi kuimaintain kuliko timu yoyote ile duniani.
 
Madrid wanategemea sana counter attack hasa wakikutana na timu zinazocheza, nadhani movement za goli za Madrid ukikaa vizuri unaziona kama mtazamaji....kitu kimoja kinachowabeba Madrid ni mentality basi nadhani na attitude, Nina uhakika cha kwanza kabisa ambacho mchezaji wa Madrid anakuwa nacho au anaandaliwa kuwa nacho ni strong mentality na desires na ndio maana kwao hata mchezaji unayemchukulia poa poa always akipata nafasi Madrid anaitendea haki na hii imefanya wachezaji wengi wenye ndoto kubwa Sasa hivi kuitaka hii timu, football heritage Yao wamejitahidi kuimaintain kuliko timu yoyote ile duniani
Madrid wanategemea sana counter attack hasa wakikutana na timu zinazocheza, nadhani movement za goli za Madrid ukikaa vizuri unaziona kama mtazamaji....kitu kimoja kinachowabeba Madrid ni mentality basi nadhani na attitude, Nina uhakika cha kwanza kabisa ambacho mchezaji wa Madrid anakuwa nacho au anaandaliwa kuwa nacho ni strong mentality na desires na ndio maana kwao hata mchezaji unayemchukulia poa poa always akipata nafasi Madrid anaitendea haki na hii imefanya wachezaji wengi wenye ndoto kubwa Sasa hivi kuitaka hii timu, football heritage Yao wamejitahidi kuimaintain kuliko timu yoyote ile duniani
pia ata aina ya wachezaji wanaopita kucheza ile klabu wengi wanavipaji vikubwa sana mfano Toni na luca modric ni moja kati ya Viungo bora wa wakati wote waliowahi kucheza mpira wa miguu kweny Hii sayari Bado hutujawataja wachezaji waliondoka kina Cristiano Ronaldo , Marcelo kina zidane wacha Real madrid iwe Ndio Best Club of all time in Football History
 
R.Madrid Ni ndoto ya kila mchezaj mkubwa duniani, jamaa wamementain status Yao for decades
Sio mentality peke ata wachezaji wanaopita kuicheza ile klabu wengi ni ma

pia ata aina ya wachezaji wanaopita kucheza ile klabu wengi wanavipaji vikubwa sana mfano Toni na luca modric ni moja kati ya Viungo bora wa wakati wote waliowahi kucheza mpira wa miguu kweny Hii sayari Bado hutujawataja wachezaji waliondoka kina Cristiano Ronaldo , Marcelo kina zinade wacha Real madrid iwe Ndio Best Club of all time in Football History
 
Niliona clip Twitter / X ikionesha Guardiola kawekeza kwenye Tactics halafu Ancelotti kawekeza kwenye Lucky.

Hapo Ancelotti huwezi kumtabiri
Nakumbuka kuelekea fainali ya Uefa 23 May 2007 Giradinho alikuwa on fire sana lakini aliulizwa utamuanzisha nani kati ya Giradinho na Inzaghi alisema anaanza na Inzaghi na jamaa alifunga.
 
R.Madrid Ni ndoto ya kila mchezaj mkubwa duniani, jamaa wamementain status Yao for decades
Kusema ni ndoto ya kila mchezaji mkubwa unaongea uongo

Ungesema madrid ni ndoto ya wachezaji wengi wa America ya kusini kucheza kule ningekuelewa
Wachezaji wa America kusini wanapenda spain sababu mojawapo ni lugha na hali ya hewa




Wachezaji wengi tu wa mataifa makubwa kimpira ulaya walikataa kujiunga na Real madrid wakaendeleza royalities kwenye vilabu vyao vya nyumbani

Italy, England, Germany nk

Mkumbuke real madrid ilishapitia msoto wa kutokuchukua uefa kwa miaka kumi mfululizo miaka ya ya 2000s

Perez aliporudi madarakani ndio team imemlipa zaidi wakati huu ila walipoteana km manchester united walivypoteana kwa sasa
 
Madrid ina Modric genius, huyu jamaa sijui kajifunza wapi boli, akiwepo uwanjani unaona kitu kinaitwa balance na hutotoka!! Mechi ya first leg vs Mancity alipoingia tu Madrid wakawa moto mkali na goli la tatu likarudi, mechi na Barca alianza Barca walipata tabu sana.
 
Hamna kitu. Mpira wa kuviziana na kupaki basi🚮
 
Madrid Hana mpira wowote ...

Ni swala la muda tu ...

Mpira WA kuvizia hauwezi kukupa CL
Unahisi ni waviziaji sababu Madrid ni ile timu ambayo inakuacha ujisikie kama upo in control, kama vile umeshawadhibiti tayari kumbe wanaangalia uchochoro, wapite wapi, hawabahatishi unashangaa ghafla wanafanya shambulizi hatari halafu wanarudi tena kukuacha uamini upo in control. Al hly nao wana hii tabia.
 
Back
Top Bottom