Ni wazo zuri mkuu! Na hayupo wa kulipinga hili wazo lako zuri mkuu. Ila sisi wengine ngoja tuendelee na na football yetu mkuu!Habarini jamani?
Naona Tanzania kuna fursa nyingi za kuanzisha klabu za michezo mingine, ukiachana na michezo kama football, boxing, basketball nk. Kuna michezo ambazo zinafaa kwa watu ambao labda football sio kipaji chao.
Na pia michezo hiyo inaweza kuchezwa katika jukwaa la kimataifa. Naongelea michezo kama lacrosse, water polo, handball, rowing nk.
Kwanini tusijaribu kuanzisha klabu za kuchezo michezo mingine kama hiyo na tuone tunaweza kuyafikisha wapi?
Nasubiri maoni yenu 🙏