#COVID19 Tuchukue tahadhari: Wimbi jipya la covid19 liko kwa jirani

#COVID19 Tuchukue tahadhari: Wimbi jipya la covid19 liko kwa jirani

Pesa aliyoikataa bwana yule wenzie tunaitaka...

Na mengine yatakuja.
Ila kama haya maigizo ni kwa ajili ya kupata zile pesa za mabeberu, basi wacha maigizo yaendelee, maana hadi mama na yeye anaigiza kuvaa barakoa 😂😂😂😂
 
Akuna corona duniani Bali kuna propaganda za covid
Na ni Biashara yaani watu awa tumii akili kabisa
Mara hoo sijuwi kume tokea wimbi la tatu
Kutoka india mara hoo wimbi la pili kutoka south afrika
Na fikiri la 4 lita tokea TZ maana awa ma bwana wana cheza saana na vyombo vya abari Pamoja na ma Docter ila ukweli akuna ugonjwa wa covid

Na mkitaka kujuwa ivo ukweli nendeni mkapimwe mimi na amini mta onekana na covid tu alafu mna ambia stay karantine siku 14 cha ajabu uta pona bila kupewa Dawa yeyote wala nini sasa awa wana vizia watu wenye magonjwa ndo wana sema ni covid na kingine mta kacho kijuwa mzungu atowi pesa zake bure
 
Hivi kwanini hizo nchi zengine zenye kujikinga na corona zisiwe zinaogopa corona kutoka Tanzania ila badala yake tunaona Tanzania tusiojikinga na corona ndio tunahofia corona kutoka hizo nchi zengine, mara South Africa mara Uingereza mara India mara Uganda.

Hii kitaalamu imekaaje?
 
Hivi kwanini hizo nchi zengine zenye kujikinga na corona zisiwe zinaogopa corona kutoka Tanzania ila badala yake tunaona Tanzania tusiojikinga na corona ndio tunahofia corona kutoka hizo nchi zengine, mara South Africa mara Uingereza mara India mara Uganda.

Hii kitaalamu imekaaje?
Yes si ndio maana UK na Oman kipindi cha 2nd wave ya bongo zilipiga marufuku flight zetu huko na watalii wakaiweka kwa blacklist.
 
Akuna corona duniani Bali kuna propaganda za covid
Na ni Biashara yaani watu awa tumii akili kabisa
Mara hoo sijuwi kume tokea wimbi la tatu
Kutoka india mara hoo wimbi la pili kutoka south afrika
Na fikiri la 4 lita tokea TZ maana awa ma bwana wana cheza saana na vyombo vya abari Pamoja na ma Docter ila ukweli akuna ugonjwa wa covid

Na mkitaka kujuwa ivo ukweli nendeni mkapimwe mimi na amini mta onekana na covid tu alafu mna ambia stay karantine siku 14 cha ajabu uta pona bila kupewa Dawa yeyote wala nini sasa awa wana vizia watu wenye magonjwa ndo wana sema ni covid na kingine mta kacho kijuwa mzungu atowi pesa zake bure
Mzungu anafaidika nini na Covid?? Uchumi umeporomoka ssa faida ya kuuza chanjo ndio ita fidia hta relief package iliyotolewa kwa kila raia??

Funny
 
Akuna corona duniani Bali kuna propaganda za covid
Na ni Biashara yaani watu awa tumii akili kabisa
Mara hoo sijuwi kume tokea wimbi la tatu
Kutoka india mara hoo wimbi la pili kutoka south afrika
Na fikiri la 4 lita tokea TZ maana awa ma bwana wana cheza saana na vyombo vya abari Pamoja na ma Docter ila ukweli akuna ugonjwa wa covid

Na mkitaka kujuwa ivo ukweli nendeni mkapimwe mimi na amini mta onekana na covid tu alafu mna ambia stay karantine siku 14 cha ajabu uta pona bila kupewa Dawa yeyote wala nini sasa awa wana vizia watu wenye magonjwa ndo wana sema ni covid na kingine mta kacho kijuwa mzungu atowi pesa zake bure
Hapa ulimaanisha nini Raia mwenzetu embu dadavua kidogo tuelewe maana watu walikufa kama kule Italy wakazika na kuzika unasema ni propaganda? maana haata hapa watu wameumwa na kufa pia............tena wengine wameshudia hapa jinsi walivyokohoa na kubanwa
 
Yes si ndio maana UK na Oman kipindi cha 2nd wave ya bongo zilipiga marufuku flight zetu huko na watalii wakaiweka kwa blacklist.
Sizungumzii hizo waves ambazo hazina tofauti kwa anayejikinga au asiyejikinga bali nazungumzia kiujumla Tanzania kwa kutochukua tahadhari kwamba tumeachia virusi vitambe na kusambaa vinavyotaka ila bado sisi tunahofia corona kutoka hayo mataifa mengine.
 
Sizungumzii hizo waves ambazo hazina tofauti kwa anayejikinga au asiyejikinga bali nazungumzia kiujumla Tanzania kwa kutochukua tahadhari kwamba tumeachia virusi vitambe na kusambaa vinavyotaka ila bado sisi tunahofia corona kutoka hayo mataifa mengine.
Hazina tofauti? Issue ni vifo.... Nmekupa case ya Israel mara ya mwisho tuna debate kwamba tokea 3rd wave iingie imekuta kuna chanjo so cases zikashuka 90%+ kutoka maelfu February mpaka watu chini ya 100 mwezi wa tano. Sasa unaposema hakuna tofauti nikueleweje?

Tunahofia sababu mara zote Corona ikifika hapa inatuletea shida as I said binafsi tulipoteza wachungaji wawili kwa mkupuo. Then wazazi wangu wawili waliponea Aga Khan ER pale!! Gharama zilizotukuta wanafamilia na stress ya kuona wazee wanapigania maisha unadhani tusiogope virusi kutoka huko nje?

Ama kwa sababu ukoo wenu unaishi maporini huko haujapata Covid ndio una generalise kwamba hauna madhara??
 
Hazina tofauti? Issue ni vifo.... Nmekupa case ya Israel mara ya mwisho tuna debate kwamba tokea 3rd wave iingie imekuta kuna chanjo so cases zikashuka 90%+ kutoka maelfu February mpaka watu chini ya 100 mwezi wa tano. Sasa unaposema hakuna tofauti nikueleweje?

Tunahofia sababu mara zote Corona ikifika hapa inatuletea shida as I said binafsi tulipoteza wachungaji wawili kwa mkupuo. Then wazazi wangu wawili waliponea Aga Khan ER pale!! Gharama zilizotukuta wanafamilia na stress ya kuona wazee wanapigania maisha unadhani tusiogope virusi kutoka huko nje?

Ama kwa sababu ukoo wenu unaishi maporini huko haujapata Covid ndio una generalise kwamba hauna madhara??
Sijazungumzia hizo chanjo ambazo hadi sasa bado mnachagua nchi zilichopata mafanikio ya chanjo, mimi nazungumzia kujikinga tu na corona ukiacha hizo chanjo, pamoja na hayo mawimbi hatujaona Tanzania hospitali kuzidiwa wagonjwa wa matatizo ya kupumua au kama kule India tulipokuwa tunaambiwa hadi kuni za kuchomana moto ziliwaishia.
 
Sijazungumzia hizo chanjo ambazo hadi sasa bado mnachagua nchi zilichopata mafanikio ya chanjo
Nchi nyingi hazikuwa zimefika above 70%.... Kwa zilizofika zote kuna mafanikio na nilianza na Israel coz ni nchi ndogo so chanjo alipata karibu kila mtu.

Nmekuja hyo case ya Brazil kwenye maeneo yenye chanjo ndio hiko kilitokea.

hatujaona Tanzania hospitali kuzidiwa wagonjwa wa matatizo ya kupumua
Tulimpeleka mzee na Mama hospitali fulani wakamkataa ikabidi twende Aga Khan (coz ya gharama hakuna msongamano kivilee)..... Nakumbuka pastor wetu alipelekwa Muhimbili ila alikataliwa ikabidi alazwe kwenye kituo cha afya kule kijichi akafia huko. Tatizo hautafuti facts umekaa nyuma ya keyboard tu na kuishia kukosoa tu watu wanaokesha maabara kutafuta suluhu.
 
kama kule India tulipokuwa tunaambiwa hadi kuni za kuchomana moto ziliwaishia
Uongo mwingine huu... Nchi ya watu billion 1 watu maelfu kadhaa wakifa whilst mamilion wakipona is it an issue?

Ile ni emergency tu ndio maana ila bado haibadili ukweli kwamba wana health facilities bora kuliko nyie. Rais wenu alikua na kejeli za namna hii kumbe anatumia moyo wa mzungu kusukuma damu!!
 
Mzungu anafaidika nini na Covid?? Uchumi umeporomoka ssa faida ya kuuza chanjo ndio ita fidia hta relief package iliyotolewa kwa kila raia??

Funny

Mmmmmmmm eti mzungu Ana faidi nini na covid

Gross Domestic Product, 1st Quarter 2021 (Second Estimate); Corporate Profits, 1st Quarter 2021 (Preliminary Estimate)
Q1 2021 (2nd)
+6.4%
Q4 2020 (3rd)
+4.3%
Real gross domestic product (GDP) increased at an annual rate of 6.4 percent in the first quarter of 2021, reflecting the continued economic recovery, reopening of establishments, and continued government response related to the COVID-19 pandemic. The increase was the same rate as the “advance” estimate released in April. In the first quarter, government assistance payments, such as direct economic impact payments, expanded unemployment benefits, and Paycheck Protection Program loans were distributed to households and businesses through the Coronavirus Response and Relief Supplemental Appropriations Act and the American Rescue Plan Act. In the fourth quarter of 2020, real GDP increased 4.3 percent.



Soma apo uta pata faida uchumi wao una panda like Canada

2018 mpaka 2020 ili kuwa inch ya kumi duniani kwa uchumi for right now he is 9


Alafu wewe una jifungia ndani au una jisumbuwa na covid uchumi wa inchi yako tu ni mdogo saana kama wewe una uwezo wa kujilisha kuna wenzako uwezo uo awana
 
Hapa ulimaanisha nini Raia mwenzetu embu dadavua kidogo tuelewe maana watu walikufa kama kule Italy wakazika na kuzika unasema ni propaganda? maana haata hapa watu wameumwa na kufa pia............tena wengine wameshudia hapa jinsi walivyokohoa na kubanwa

Bro akuna ukweli apo ndo maana nime kuambia awa wana tumia saana vyombo vya abari mimi ninaye kuambia mwanzo nili kuwa na ogopa covid 19 saana siku ambayo nili panga kuja TZ 2020 kuna serekali ya TZ wali kuwa wana sema uwezi ingia TZ bila kufanya test ya covid nili enda kufanya Test ya covid kwa ili nipate kusafiri kwa bahati mbaya nikawa positive nika onekana na covid waka ni ambia uwezi kusafiri nenda ukae ndani siku 14 ndo una rudi apa kurudilia vipimo
Nili rudi uku mwili wangu una tetemeka eti ndo na kufa wakawa wana ni pigia siku kuni uliza na endelea je na kunipa hofu sijuwi baada ya siku kaza uta anza kupata dalili siku izi zilipiti
Na nika maliza karantine yangu bila kusikia dalili yeyote ile

Maswali nika baki nayo

Je ? Ni ugonjwa gani atari ambao auna Dawa mtu una pona kwa kukaa karantine tena una pona bila Dawa


Nili achana na apo mwezi wa kwanza mwaka huu waka sema wafanyakazi wote ina bidi waje na karatasi ya vipimo vya covid apa kazini nika pimwa tena kwa bahati mbaya nika onekana nao mimi na dogo langu tuli kaa karantine 14 bila kusikia dalili yeyote zaidi ya kupewa hofu nao tu

Bibi yangu naye ana miaka 78 kwasasa naye Ali onekana na covid cha ajabu aku sikia dalili zozote za covid

Na yeyote ata kaye bisha abari iyi na Mshauria afanye nguvu afanye test alafu majibu ata ona cha ajabu

Alafu after karantine uta letee ushuuda wako apa

Ndo ivo akuna corona na uki sikia kume kufa watu milioni 2 ni uongo propaganda zao izo
Akuna chochote
 
Serikali itabidi wa enforce sheria ya kuvaa barakoa kila mahala, na kunawa mikono na kutumia sanitizer irudi kama mwanzo.....the situation may go beyond control...
 
Back
Top Bottom