SoC02 Tuchukulie MTU ambaye amepewa dhamana ya kuwa Mkuu wa Kitengo/Idara anakuwa hivi, itatakiwa umchukuliaje?

SoC02 Tuchukulie MTU ambaye amepewa dhamana ya kuwa Mkuu wa Kitengo/Idara anakuwa hivi, itatakiwa umchukuliaje?

Stories of Change - 2022 Competition

Google Diggers

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2015
Posts
944
Reaction score
1,138
Kwenye hoja Moja Kwa Moja.

Unakuwa na presha kamtu kanakupandisha presha nyingii mpaka unafikia hatua ya kutaka kuacha kazi.

Inatukuta Sana na wengi hii tunaichukulia rahisi na kamtu uka-zoom na ukika-scan unaona haka kwani hakajui nafasi au cheo ni dhamana tu? Kwa wengine wanajitutumua wakidhani wamepata, na ubabe kibao. Inasikitisha unapofanya kazi miaka 26 na ushee na up and down zipo unaishi nazo, late few years ahead ku retire anakuja boss na arrogance zake kibao kila mtu anamshangaa na kummuacha kama alivyo.

Watu wa aina hizi tuishi nao vipi maana wanakera na Wana presha za kitu flan katika kutekeleza kazi zao.

Inakera sana unapoishi na kitu/kero moyoni. Kitengo ni au kaidara au section flan ni kitu kidogo sana. Ka MTU kanapata nafasi kanakosa hekma za ki malezi na kiuongozi. Jambo hili linanysha jinsi vijana tunapopata madaraka na ku exercise ujinga, ulimbukeni.

Tunapoangalia Sana tunawaomba viongozi wanaokosa hekima na kubaki kuwa kero kwa watendaji na wananchi Kwa ujumla.

Watu aina hii katika jamii iliyostarabika waachwe tu wafanye ujinga wao au tuwachukuliaje kwa mfano.

Nimefuatilia mauaji ya waziri mkuu wa zamani shizza Abe, na kwamba chuki ni jambo Baya Sana.

Yule kijana wa Umri wa 40s ni kama alikasirishwa na Muda mrefu na alitumia wa tabia na matendo ya kiongoz yule. Watu ambao hawajali maisha ya watu wengine hujawa na chuki.

Hii hali inawaathiri Sana wafanyakazi na watu mbalimbali wanaofanyiwa udhalilishaji, ukatili, unyanyasaji nk.

Hadi anaamua kutekeleza mauaji si jambo dogo. Alibuni silaha na kumbe alishaawahi kutakakutumia bomu kummaliza marehem shizza. Bastola na baadae alitengeneza local bunduki SMG yake
 
Upvote 4
Pole sana, kwa hiyo ushafikiria kupanga mauwaji?
 
Kwenye hoja Moja Kwa Moja.

Unakuwa na presha kamtu kanakupandisha presha nyingii mpaka unafikia hatua ya kutaka kuacha kazi.

Inatukuta Sana na wengi hii tunaichukulia rahisi na kamtu uka-zoom na ukika-scan unaona haka kwani hakajui nafasi au cheo ni dhamana tu? Kwa wengine wanajitutumua wakidhani wamepata, na ubabe kibao. Inasikitisha unapofanya kazi miaka 26 na ushee na up and down zipo unaishi nazo, late few years ahead ku retire anakuja boss na arrogance zake kibao kila mtu anamshangaa na kummuacha kama alivyo.

Watu wa aina hizi tuishi nao vipi maana wanakera na Wana presha za kitu flan katika kutekeleza kazi zao.

Inakera sana unapoishi na kitu/kero moyoni. Kitengo ni au kaidara au section flan ni kitu kidogo sana. Ka MTU kanapata nafasi kanakosa hekma za ki malezi na kiuongozi. Jambo hili linanysha jinsi vijana tunapopata madaraka na ku exercise ujinga, ulimbukeni.

Tunapoangalia Sana tunawaomba viongozi wanaokosa hekima na kubaki kuwa kero kwa watendaji na wananchi Kwa ujumla.

Watu aina hii katika jamii iliyostarabika waachwe tu wafanye ujinga wao au tuwachukuliaje kwa mfano.

Nimefuatilia mauaji ya waziri mkuu wa zamani shizza Abe, na kwamba chuki ni jambo Baya Sana.

Yule kijana wa Umri wa 40s ni kama alikasirishwa na Muda mrefu na alitumia wa tabia na matendo ya kiongoz yule. Watu ambao hawajali maisha ya watu wengine hujawa na chuki.

Hii hali inawaathiri Sana wafanyakazi na watu mbalimbali wanaofanyiwa udhalilishaji, ukatili, unyanyasaji nk.

Hadi anaamua kutekeleza mauaji si jambo dogo. Alibuni silaha na kumbe alishaawahi kutakakutumia bomu kummaliza marehem shizza. Bastola na baadae alitengeneza local bunduki SMG yake
kaka nimewahi fanya kazi katika taasisi moja ya serikali mji mmoja mkubwa tu hapa nchini,simply ni taasisi ya elimu.

sasa pale alikuwepo mkuu wa idara hovyo kabisa hopeless,mpumbavu yule,anataka kuonekana mungu mtu,na ukiwaza kinyume nae anakuleteza zengwe.

mkuu huyo wa idara asiyejitambua,maana kazi yake ilikua ni kuweka makundi idarani,anataka watu wote wamuheshimu na kumpa sapoti yeye,na kumpongeza kwa kila kitu,hataki changamoto hataki uulize,hataki uwe na mawazo ya kujitegemea ila yake tu ndio sahihi,muda huo nilikua juniour staff,mjinga sana mtu yule;

baada ya kuona visa vyake vimezidi na tabia zake na zangu hatuendani na hali yangu ilipokua mbaya sababu ya chuki na fitina zake,niliamua yafuatayo

1. namba zake zote nilifuta,sitaki mawasiliano nae kabisa kwa njia isiyo ya kiofisi;

2. niliamua kuwa safi kazini na kufata taratibu zote bila kupunguka;

3. niliamua kuwa mkweli na kusimamia mawazo yangu hata kama ukweli na mawazo hayo yatakua yananiumiza mwenyewe;

4. niliamua kuwa muwazi na mkweli,nimekuwa mnyofu sana haijalishi nani yuko mbele yangu;

5. niliamua kuhama taasisi hiyo mara moja;

nimeandika hapa,ila mpango wa kuacha kazi sikuwahi kuwaza na sitawaza kabisa nitapambania haki yangu haijalishi nani anataka kuipokonya;

kauli ya mkubwa hakosei ni kauli na msemo wa hovyo kabisa kuwahi kutokea tanzania,na baadhi ya wakubwa wasio na akili wala hekima wanatumia huu upenyo kufanya wanayotaka wao huku wakiumiza watu;

USHAURI KWAKO:

1. ISHI MAISHA YAKO,USIACHE KAZI KABISA;

2. JISIMAMIE,USIPENDE KUWA KARIBU NA MKUU WA KAZI HATA SIKU MOJA;

3. USIACHE KAZI hii nimerudia;

4. HAKIKISHA KABLA HUJAMUONA BOSS WAKO ANAKUONEA,WEWE MWENYEWE UWE SAFI,HII ITAKUSAIDIA KUJIAMINI BILA SHIDA NA BOSS WA HOVYO ATAKOSA LA KUKUFANYA;

nimeandika haya kwa uchungu sana maana ilifika wakati sina hamu na kazi kabisa hadi nilipohama,najua unapitia maumivu kiasi gani ila jiweke safi akose cha kukuhukumu;

USHAURI KWA WAFANYA TEUZI:
MNAPOMPA MTU UKUU WA KITENGO HAKIKISHENI ANA UHUSIANO MZURI NA MME (kama ni mwanamke) au MKE WAKE (kama ni mwanaume),kama hana uhusiano mzuri hafai kusimamia idara yenye watu aina mbalimbali;

wewe mtu tambua lile tukio lenu mlilo-organize na yule mkabila mwenzako siku ile jumatano limeandikwa kwa kumbukumbu ya baadae,nimeandikia software na hardware tena kwa ncha chuma,naamini ukisoma uzi huu utajijua;

wapumbavu ninyi;

834KJ
 
kaka nimewahi fanya kazi katika taasisi moja ya serikali mji mmoja mkubwa tu hapa nchini,simply ni taasisi ya elimu.

sasa pale alikuwepo mkuu wa idara hovyo kabisa hopeless,mpumbavu yule,anataka kuonekana mungu mtu,na ukiwaza kinyume nae anakuleteza zengwe.

mkuu huyo wa idara asiyejitambua,maana kazi yake ilikua ni kuweka makundi idarani,anataka watu wote wamuheshimu na kumpa sapoti yeye,na kumpongeza kwa kila kitu,hataki changamoto hataki uulize,hataki uwe na mawazo ya kujitegemea ila yake tu ndio sahihi,muda huo nilikua juniour staff,mjinga sana mtu yule;

baada ya kuona visa vyake vimezidi na tabia zake na zangu hatuendani na hali yangu ilipokua mbaya sababu ya chuki na fitina zake,niliamua yafuatayo

1. namba zake zote nilifuta,sitaki mawasiliano nae kabisa kwa njia isiyo ya kiofisi;

2. niliamua kuwa safi kazini na kufata taratibu zote bila kupunguka;

3. niliamua kuwa mkweli na kusimamia mawazo yangu hata kama ukweli na mawazo hayo yatakua yananiumiza mwenyewe;

4. niliamua kuwa muwazi na mkweli,nimekuwa mnyofu sana haijalishi nani yuko mbele yangu;

5. niliamua kuhama taasisi hiyo mara moja;

nimeandika hapa,ila mpango wa kuacha kazi sikuwahi kuwaza na sitawaza kabisa nitapambania haki yangu haijalishi nani anataka kuipokonya;

kauli ya mkubwa hakosei ni kauli na msemo wa hovyo kabisa kuwahi kutokea tanzania,na baadhi ya wakubwa wasio na akili wala hekima wanatumia huu upenyo kufanya wanayotaka wao huku wakiumiza watu;

USHAURI KWAKO:

1. ISHI MAISHA YAKO,USIACHE KAZI KABISA;

2. JISIMAMIE,USIPENDE KUWA KARIBU NA MKUU WA KAZI HATA SIKU MOJA;

3. USIACHE KAZI hii nimerudia;

4. HAKIKISHA KABLA HUJAMUONA BOSS WAKO ANAKUONEA,WEWE MWENYEWE UWE SAFI,HII ITAKUSAIDIA KUJIAMINI BILA SHIDA NA BOSS WA HOVYO ATAKOSA LA KUKUFANYA;

nimeandika haya kwa uchungu sana maana ilifika wakati sina hamu na kazi kabisa hadi nilipohama,najua unapitia maumivu kiasi gani ila jiweke safi akose cha kukuhukumu;

USHAURI KWA WAFANYA TEUZI:
MNAPOMPA MTU UKUU WA KITENGO HAKIKISHENI ANA UHUSIANO MZURI NA MME (kama ni mwanamke) au MKE WAKE (kama ni mwanaume),kama hana uhusiano mzuri hafai kusimamia idara yenye watu aina mbalimbali;

wewe mtu tambua lile tukio lenu mlilo-organize na yule mkabila mwenzako siku ile jumatano limeandikwa kwa kumbukumbu ya baadae,nimeandikia software na hardware tena kwa ncha chuma,naamini ukisoma uzi huu utajijua;

wapumbavu ninyi;

834KJ
nimeandika haya kwa uchungu sana maana ilifika wakati sina hamu na kazi kabisa hadi nilipohama,najua unapitia maumivu kiasi gani ila jiweke safi akose cha kukuhukumu;

nimecourt kwasabb katika utendaji kazi (20yrs)sikuwahi kukutana na binadamu wa aina hii. Samahani jamaa ni mfupi sitaki kusema wafupi wanamatatizo.lkn huyu amezidi. Ana makundi Hana hata leadership skills.kwamba akuchukulie binadamu kama yeye.maslah yake kama HD anayaona ya maana kuliko watendaji wake. Huyu MTU hajali kipato chako. Kuna watu wanaroho mbaya Sana hapa duniani
 
nimeandika haya kwa uchungu sana maana ilifika wakati sina hamu na kazi kabisa hadi nilipohama,najua unapitia maumivu kiasi gani ila jiweke safi akose cha kukuhukumu;

nimecourt kwasabb katika utendaji kazi (20yrs)sikuwahi kukutana na binadamu wa aina hii. Samahani jamaa ni mfupi sitaki kusema wafupi wanamatatizo.lkn huyu amezidi. Ana makundi Hana hata leadership skills.kwamba akuchukulie binadamu kama yeye.maslah yake kama HD anayaona ya maana kuliko watendaji wake. Huyu MTU hajali kipato chako. Kuna watu wanaroho mbaya Sana hapa duniani
na mimi alikua hivihivi,mfupi;

ila najua kitu kimoja,kila ubaya una malipo yake,huwa nikiwaangalia wanaye nawaonea huruma maana mambo ya mzazi wao huenda yakaleta laana hadi kwao;

chukulia mtu anakusemea habari za uongo ili kukuchonganisha na wengine!
 
Back
Top Bottom