Hebu kulalamika na kulaumu tu pause kidogo.
Chukulia umepata nafasi ya kuwa Rais wa JMT, Waziri Mkuu, Waziri, Katibu Mkuu kwenye wizara, Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Mbunge, Diwani, na kadhalika na kadhalika.
Ki ujumla we ni mtu uliyepo kwenye system na kuwa sehemu ya maamuzi kwa ajili ya nchi hii.
Je, ni kitu gani hasa ungefanya kwa ajili ya Tanzania na watanzania katika kukabiliana na changamoto mbali mbali zilizopo?
NB:
Maswali yanaruhusiwa kum challenge yeyote aliyejiweka kwenye nafasi tajwa hapo juu au nafasi yeyote ile yenye chain ya maamuzi kwa ajili ya nchi.
Chukulia umepata nafasi ya kuwa Rais wa JMT, Waziri Mkuu, Waziri, Katibu Mkuu kwenye wizara, Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Mbunge, Diwani, na kadhalika na kadhalika.
Ki ujumla we ni mtu uliyepo kwenye system na kuwa sehemu ya maamuzi kwa ajili ya nchi hii.
Je, ni kitu gani hasa ungefanya kwa ajili ya Tanzania na watanzania katika kukabiliana na changamoto mbali mbali zilizopo?
NB:
Maswali yanaruhusiwa kum challenge yeyote aliyejiweka kwenye nafasi tajwa hapo juu au nafasi yeyote ile yenye chain ya maamuzi kwa ajili ya nchi.