TUCTA yapinga kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa meneja wa TRC kanda ya Dar es Salaam

TUCTA yapinga kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa meneja wa TRC kanda ya Dar es Salaam

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Baada ya aliyekuwa Meneja wa Kanda wa Shirika la Reli Tanzania, Jonas Afumwisye, kuthibitisha kupokea barua ya kufutwa kazi, Rais wa Chama cha Wafanyakazi nchini amesema wanapinga hatua hiyo kwa kuwa alitimiza haki yake ya kutoa maoni.

Meneja huyo anadai, kusimamishwa kazi kutokana na kupinga tozo za miamala kupitia mtandao wa WhatsApp ambapo anadaiwa kwenda kinyume na Sheria ya Utumishi wa Umma ya mwaka 2003.

Pia anatuhumiwa kupinga juhudi za serikali za kutoa chanjo na kumkashifu Rais Samia Suluhu kupitia mitandao ya kijamii ambapo amesema, atakata rufaa kwenye Tume ya Utumishi wa Umma.

............................................

A Tanzanian government employee has been sacked for opposing the introduction of charges for mobile money transfers on social media.

Jonas Afumwisye, a regional manager for Tanzania Railways Corporation, confirmed that he has received a sacking letter and would appeal to the Public Service Commission, The Citizen newspaper reports.

The letter stated that he had gone against the Public Service Act of 2003.

It's unclear which platform the official used as the sacking letter just referred to social media.

Mr Afumwisye is also accused of opposing the government's vaccination efforts and defaming President Samia Suluhu in his social media posts.

Trade union boss Tumaini Nyamhokya said they oppose the dismissal of the worker because he had a right to express his opinion, The Citizen newspaper reports.

Tanzania has in the past been criticised for declining freedoms and cracking down on government critics

Source: BBC
 
Hii ndiyo ile lugha sasa zinazopaswa kusikika. Ieleweke, bottom line: "tozo kunufaisha walamba asali hazikubaliki."
 
Ila inachekesha. Rais Samia alivyokuwa anachukua nchi basi alimuona mtangulizi wake ntu mbaya sana. Akaaminisha mpaka mataifa ya nje kuwa serikali iliyopita ilikuwa ya Dikiteta.

Kwa news kama hizi siyo njema sana kimataifa. Ningekuwa mi Rais Samia basi ningeamrisha arejeshwe kazini haraka sana.

Sababu ni nyingi, mojawapo tozo zinaumiza wananchi na hazifai na mpaka sasa chuki juu yake ni kubwa mno.
 
Wangepinga bila barua?

We bavicha bure kabisa
We Gamba kuwa na akili wewe, suala hili ni mchakato;
-Mwajiriwa kutakiwa kujibu tuhuma aanazokabiliana nazo ndani,
-Tume kuundwa,
-Mwajiriwa kujitetea mbele ya tume baada ya kukutwa na tuhuma
-Taarifa ya tume na Ushauri wa Tume juu ya hatua za kumchukulia Mtuhumiwa kulingana na findings zilizobainishwa na tume kuwasilishwa kwa mtendaji mkuu wa taasisi
-Mtendaji mkuu kuwasiloisha taarifa katika vikao vya maamuzi
-Uamuzi wa kumfuta kazi

Katika hatua zote hizo za Mchakato Trade union ina wajibu ku-advocacy including kushauri Mwajiri juu ya haki za Mtuhumiwa (mwajiriwa) akiwa katika hatua za awali za kusimamishwa kazi kabla ya uamuzi wa mwisho wa kumfuta kazi Mtumishi. Haya yote hutakiwa kufanyika ndani ya siku 90., ndani ya hizo siku 90 wamefanya nini kumtetea mwanachama wao?
 
We Gamba kuwa na akili Ubwa wewe, suala hili ni mchakato;
-Mwajiri kutakiwa kujibu tuhuma aanazokabiliana nazo ndani,
-Tume kuundwa,
-Mwajiri kujitetea mbele ya tume,
-Taarifa ya tume na Ushauri wa Tume juu ya hatua za kumchukulia Mtuhumiwa kulingana na findings zilizobainishwa na tume.

Katika hatua zote hizo za Mchakato Trade union ina wajibu ku-advocacy including kushauri Mwajiri juu ya haki za Mtuhumiwa (mwajiriwa) akiwa katika hatua za awali za kusimamishwa kazi kabla ya uamuzi wa mwisho wa kumfuta kazi Mtumishi. Haya yote hutakiwa kufanyika ndani ya siku 90., ndani ya hizo siku 90 wamefanya nini kumtetea mwanachama wao?
Hahaha.......una pweinti!
 
We Gamba kuwa na akili Ubwa wewe, suala hili ni mchakato;
-Mwajiri kutakiwa kujibu tuhuma aanazokabiliana nazo ndani,
-Tume kuundwa,
-Mwajiri kujitetea mbele ya tume,
-Taarifa ya tume na Ushauri wa Tume juu ya hatua za kumchukulia Mtuhumiwa kulingana na findings zilizobainishwa na tume.

Katika hatua zote hizo za Mchakato Trade union ina wajibu ku-advocacy including kushauri Mwajiri juu ya haki za Mtuhumiwa (mwajiriwa) akiwa katika hatua za awali za kusimamishwa kazi kabla ya uamuzi wa mwisho wa kumfuta kazi Mtumishi. Haya yote hutakiwa kufanyika ndani ya siku 90., ndani ya hizo siku 90 wamefanya nini kumtetea mwanachama wao?
Shida wanadhani mtumishi kufukuzwa ni "Over-Night Process".... Hawajui hata maana ya Formal Proceedings hawa.

Sasa jiulize wakati wote huo hao trade unions walikuwa wapi? Na kwa nini avujishe hukumu , kwa nn hakutoka public toka mwanzo? Ni kwamba amekuja kutafuta public sympathy tuu.

Natamani sana kujua alichoandika huyu meneja huko whatsapp, mwenye hizo screenshot azitume humu.
 
Shida wanadhani mtumishi kufukuzwa ni "Over-Night Process".... Hawajui hata maana ya Formal Proceedings hawa.

Sasa jiulize wakati wote huo hao trade unions walikuwa wapi? Na kwa nini avujishe hukumu , kwa nn hakutoka public toka mwanzo? Ni kwamba amekuja kutafuta public sympathy tuu.

Natamani sana kujua alichoandika huyu meneja huko whatsapp, mwenye hizo screenshot azitume humu.
Ndugu Sasa ivi watu wanafukuzwa fukuzwa serikalini bila utaratibu Ili mradi bosi awe na kinyongo na wewe anaongea na mwajiri wako kesi inakuzwa hata kama taratibu zote zitafuatwa bado utaonekana una kosa kubwa la kukufukuza kazi , ajira serikalini Sasa hivi siyo salama kama inavyoaminishwa Kuna uonevu mkubwa sana.
 
Baada ya kuona wanasheria wamejitokeza kumsaidia ndo Tucta wanajitokeza hili halina afya kwao kama chama.
 
Kupinga jitihada za serikali kwenye chanjo ni kosa,
Kumkashifu rais ni kosa, kupinga mapato ya serikali ni kosa
So hakuna kuchekeana sheria ichukue mkondu wake
 
Baada ya aliyekuwa Meneja wa Kanda wa Shirika la Reli Tanzania, Jonas Afumwisye, kuthibitisha kupokea barua ya kufutwa kazi, Rais wa Chama cha Wafanyakazi nchini amesema wanapinga hatua hiyo kwa kuwa alitimiza haki yake ya kutoa maoni.

Meneja huyo anadai, kusimamishwa kazi kutokana na kupinga tozo za miamala kupitia mtandao wa WhatsApp ambapo anadaiwa kwenda kinyume na Sheria ya Utumishi wa Umma ya mwaka 2003.

Pia anatuhumiwa kupinga juhudi za serikali za kutoa chanjo na kumkashifu Rais Samia Suluhu kupitia mitandao ya kijamii ambapo amesema, atakata rufaa kwenye Tume ya Utumishi wa Umma.

............................................

A Tanzanian government employee has been sacked for opposing the introduction of charges for mobile money transfers on social media.

Jonas Afumwisye, a regional manager for Tanzania Railways Corporation, confirmed that he has received a sacking letter and would appeal to the Public Service Commission, The Citizen newspaper reports.

The letter stated that he had gone against the Public Service Act of 2003.

It's unclear which platform the official used as the sacking letter just referred to social media.

Mr Afumwisye is also accused of opposing the government's vaccination efforts and defaming President Samia Suluhu in his social media posts.

Trade union boss Tumaini Nyamhokya said they oppose the dismissal of the worker because he had a right to express his opinion, The Citizen newspaper reports.

Tanzania has in the past been criticised for declining freedoms and cracking down on government critics

Source: BBC
We need freedom of speech
 
yani tulipe tozo kwa kuwanufaisha mafisadi wa ccm
Tukijitokeza kama buku hivi kupinga hadharani haya mambo tunaweza kusababisha mageuzi kiukweli haya mambo tunakoelekea tutashindwa kulea familia kwa hizi tozo za kidwanzi heko watumishi wa Umma wanaolalamika hadharani wamezidi hawa kina Mwigulu
 
Watozonia hamtakiwi kusema lolote hata kama jamaa wanakuingizia kitu chenye ncha kali kule mji mpya kwako, unatakiwa kukaa kimya na kusema mother is upigalingi mwingi! mmepigwa nduguzangu nawaambieni tena
 
Back
Top Bottom