ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Tumbili wakiwa mtaani kwenu sio nyumba zote wanazizoea na kuingia ingia yaani kuna nyumba hawakanyagi kabisa basi ndo kama tembo wananusa hatari tembo wawili usiombe waingie shambani yaani heka mbili tembo wanazifuta zote chali.
Mkakati madhubuti unahitajika kudhibiti tembo wanahatarisha sana bahati nzuri mimi nimeona kadhia wanayopata wakulima na wananchi maeneo wanakopita tembo wanatisha siku ukiwaona wanakatiza kijijini me niliwaona tembo wa nne aisee ni kisanga minazi inavunjwa vunjwa kama kijiti utakuwa unasikia tu inavyoanguka unaweza ukafikiri ni chain saw inafanya kazi huko porini.
Mkakati madhubuti unahitajika kudhibiti tembo wanahatarisha sana bahati nzuri mimi nimeona kadhia wanayopata wakulima na wananchi maeneo wanakopita tembo wanatisha siku ukiwaona wanakatiza kijijini me niliwaona tembo wa nne aisee ni kisanga minazi inavunjwa vunjwa kama kijiti utakuwa unasikia tu inavyoanguka unaweza ukafikiri ni chain saw inafanya kazi huko porini.