Tuelekezane kuhusu swala hili

Tuelekezane kuhusu swala hili

Jordan jacob

Member
Joined
May 28, 2016
Posts
26
Reaction score
4
Gari yangu aina ya Toyota Dyna Ton 3 na nusu ,ilikuwa na engine ya 13B,ikapasua block piston zikatokea mbavuni,nime overhaul lakin inanizingua ,ila kuna sehemu nimepata engine ya 3B NEW ,je itafaa ukilinganisha na 13B,kwa anaefaham kuhusu 3B tujuzane
 
Udhaifu wa 3B cylinder head yake haistahimili overheat unapoitumia hakikisha mfumo wa upozaji uko vizuri (baadhi ya watu huiwekea radiator kubwa kupunguza uwezekano wa kuheat) au ikitokea imeharibika unanunua cylinder head complete na piston za 14B unafunga hapo uhakika
 
Udhaifu wa 3B cylinder head yake haistahimili overheat unapoitumia hakikisha mfumo wa upozaji uko vizuri (baadhi ya watu huiwekea radiator kubwa kupunguza uwezekano wa kuheat) au ikitokea imeharibika unanunua cylinder head complete na piston za 14B unafunga hapo uhakika
Je kwa upande wa pulling ikoje,maana nataka nifunge kwenye ton 3 na nusu,huku Moro mkuyuni kuna vilima hatari
 
Back
Top Bottom