Tuelewane: Amini usiamini, njia hii haina tofauti na ile aliyofanya Hayati Magufuli

Tuelewane: Amini usiamini, njia hii haina tofauti na ile aliyofanya Hayati Magufuli

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Amani iwe nawe.

PDF la kushtukiza limetoka usiku mkali, lakini limekuja kwa mshtuko wa kutosha hasa.

Leo nakurudisha nyuma wakati wa uongozi wa presida John Joseph Pombe Magufuri, wakati anataka kufanya mabadiriko ndani ya chama ndani humo.

Hiki kilichotokea usiku wa manane kimeshtua watanzania wengi sana ila wengi wanasahau kuwa, hiki anachofanya mama mzee wetu JPM alikuwa anaelekea kufanya hiki kiasi kwamba wengi mnakumbuka kipindi kile mh. Nape alitembea kilometers kadhaa kuingia magogoni kuomba poo.

Na baada ya kupigwa chini huyu jamaa ndipo mbinu chafu na chain yake hiyo hiyo wakaanza kazi nje ya box, sasa basi nini tunatarajia baada ya hapa?.

Hatujui ila kwa sababu bado ni vijana waliopo ndani ya chama, basi tusubiri maana Mama kasafisha nyumba hasa na anaonekana hana simile na mtu na sioni tofauti na kile akichofanya mzee Magufuri ila tofauti ni watu.

Nilisema sitasema kitu kwa Mh. Rais hadi baadaye sana na safari bado inaendelea, tukae kwa kutulia, maji yajitenge na mafuta.

2025 ipo njiani si mbali - SSH kapania.
 
Yule nyau alihakikisha amevuruga tanesco yote .........yaani kachukua kuku msafi harafu kamtia utumbo wa mbuzi sasa sijui alitaka kitokee nini
 
Dkt Samia anayo nafasi 2025 iwapo atamtoa pia Dkt Mwigulu, na Mh. Bashe. Hawa ndiyo wamebaki wawili waliomshushia Dkt Samia thamani ya urais wake. Tena awatoe haraka sana. Baada ya hapo aende Chato kwenye kaburi akalie machozi na kuomba msamaha.

Baada ya hapo basi ahakikisha watu kama Makonda wanakuwa kwenye usukani. Then ahakikishe awe na raho ya uongozi na kiongozi, akate mizizi yote iliyomlambisha udongo bosi wake kata mpaka shina ng’oa asiishie tu kukata majani yaani na mti kabisa.

Hapo atashinda na kutawala bila wasiwasi ila akiwaacha kitakachotokea ni ya Biden. Ajue kabisa Mama hakuna mtu mbaya ka Mh. Bashe na Mwigulu ndani ha serikali yake nao maana hao wana ambitions za urais hivyo watafanya lolote kuiba na kuhakikisha wanamdhalilisha Dkt Samia ili aonekane ni kashindwa.
 
Dkt Samia anayo nafasi 2025 iwapo atamtoa pia Dkt Mwigulu, na Mh. Bashe. Hawa ndiyo wamebaki wawili waliomshushia Dkt Samia thamani ya urais wake. Tena awatoe haraka sana. Baada ya hapo aende Chato kwenye kaburi akalie machozi na kuomba msamaha. Baada ya hapo basi ahakikisha watu kama Makonda wanakuwa kwenye usukani. Then ahakikishe awe na raho ya uongozi na kiongozi, akate mizizi yote iliyomlambisha udongo bosi wake kata mpaka shina ng’oa asiishie tu kukata majani yaani na mti kabisa. Hapo atashinda na kutawala bila wasiwasi ila akiwaacha kitakachotokea ni ya Biden. Ajue kabisa Mama hakuna mtu mbaya ka Mh. Bashe na Mwigulu ndani ha serikali yake nao maana hao wana ambitions za urais hivyo watafanya lolote kuiba na kuhakikisha wanamdhalilisha Dkt Samia ili aonekane ni kashindwa.
Nakazia.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Mnafiki ni kuishi naye kinafiki. Mama kaona mbali
 
Dkt Samia anayo nafasi 2025 iwapo atamtoa pia Dkt Mwigulu, na Mh. Bashe. Hawa ndiyo wamebaki wawili waliomshushia Dkt Samia thamani ya urais wake. Tena awatoe haraka sana. Baada ya hapo aende Chato kwenye kaburi akalie machozi na kuomba msamaha. Baada ya hapo basi ahakikisha watu kama Makonda wanakuwa kwenye usukani. Then ahakikishe awe na raho ya uongozi na kiongozi, akate mizizi yote iliyomlambisha udongo bosi wake kata mpaka shina ng’oa asiishie tu kukata majani yaani na mti kabisa. Hapo atashinda na kutawala bila wasiwasi ila akiwaacha kitakachotokea ni ya Biden. Ajue kabisa Mama hakuna mtu mbaya ka Mh. Bashe na Mwigulu ndani ha serikali yake nao maana hao wana ambitions za urais hivyo watafanya lolote kuiba na kuhakikisha wanamdhalilisha Dkt Samia ili aonekane ni kashindwa.
Mama kumto Bashe labda iwe AJALI ya kisiasa! Unamjua yule Mwarabu wa ambaye huwa anaongozana naye kwenda Oman! Kama humjui basi wewe ni mchanga ktk pilitiki za Njii hii🥴
 
Mama kumto Bashe labda iwe AJALI ya kisiasa! Unamjua yule Mwarabu wa ambaye huwa anaongozana naye kwenda Oman! Kama humjui basi wewe ni mchanga ktk pilitiki za Njii hii🥴
Rais Dkt Samia si huwa anapita hapa jukwaani, basi ajue Bashe ni anguko lake tena shimo kubwa kama ilivyokuwa kwa Nape na Januari. Yaani sisi wana CCM tunataka wanaomsaidia rais wawe wale ambao wanamsaidia pia kukubalika kwa wananchi ili CCM iendelee kushika dola
 
Nape na makamba wana uwezo mdogo sana Magu aliliona hilo na mama kaliona
Mna muoverrate huyo mama yenu, all that long hakuwa amebaini kuwa wana uwezo mdogo? hizo ni political games tu hakuna cha uwezo mdogo wala nn!
 
Amani iwe nawe.

PDF la kushtukiza limetoka usiku mkali, lakini limekuja kwa mshtuko wa kutosha hasa.

Leo nakurudisha nyuma wakati wa uongozi wa presida John Joseph Pombe Magufuri, wakati anataka kufanya mabadiriko ndani ya chama ndani humo.

Hiki kilichotokea usiku wa manane kimeshtua watanzania wengi sana ila wengi wanasahau kuwa, hiki anachofanya mama mzee wetu JPM alikuwa anaelekea kufanya hiki kiasi kwamba wengi mnakumbuka kipindi kile mh. Nape alitembea kilometers kadhaa kuingia magogoni kuomba poo.

Na baada ya kupigwa chini huyu jamaa ndipo mbinu chafu na chain yake hiyo hiyo wakaanza kazi nje ya box, sasa basi nini tunatarajia baada ya hapa?.

Hatujui ila kwa sababu bado ni vijana waliopo ndani ya chama, basi tusubiri maana Mama kasafisha nyumba hasa na anaonekana hana simile na mtu na sioni tofauti na kile akichofanya mzee Magufuri ila tofauti ni watu.

Nilisema sitasema kitu kwa Mh. Rais hadi baadaye sana na safari bado inaendelea, tukae kwa kutulia, maji yajitenge na mafuta.

2025 ipo njiani si mbali - SSH kapania.
Mna muoverrate huyo mama yenu, kwa uwezo gani wa kiuongozi alionao? hizo ni just political games hakuna weledi wowote hapo!
 
Chura kiziwi naye amalize muda wake aondoke, tumemchoka na drama zake. Adui yetu ni CCM tusitolewe kwenye reli
 
These are game theories in Politics. Tuwe wapole tutaona mengi 2025 watakaa pembeni wengi.
 
Back
Top Bottom