Tuelewane: Amini usiamini, njia hii haina tofauti na ile aliyofanya Hayati Magufuli

Tuelewane: Amini usiamini, njia hii haina tofauti na ile aliyofanya Hayati Magufuli

Dkt Samia anayo nafasi 2025 iwapo atamtoa pia Dkt Mwigulu, na Mh. Bashe. Hawa ndiyo wamebaki wawili waliomshushia Dkt Samia thamani ya urais wake. Tena awatoe haraka sana. Baada ya hapo aende Chato kwenye kaburi akalie machozi na kuomba msamaha.

Baada ya hapo basi ahakikisha watu kama Makonda wanakuwa kwenye usukani. Then ahakikishe awe na raho ya uongozi na kiongozi, akate mizizi yote iliyomlambisha udongo bosi wake kata mpaka shina ng’oa asiishie tu kukata majani yaani na mti kabisa.

Hapo atashinda na kutawala bila wasiwasi ila akiwaacha kitakachotokea ni ya Biden. Ajue kabisa Mama hakuna mtu mbaya ka Mh. Bashe na Mwigulu ndani ha serikali yake nao maana hao wana ambitions za urais hivyo watafanya lolote kuiba na kuhakikisha wanamdhalilisha Dkt Samia ili aonekane ni kashindwa.
Unaposema amtoe Mwiguru, unajua huyu jamaa na mama wapoje?.

Huyo jamaa ana nafasi yake kwa mama ambayo wengi hatuijui, nafasi hiyo inatokana na kipindi kile mama yupo Tanga huku nyuma wazee wa kazi wanafanya yao, mwiguru tumuache kwanza, atahukumiwa kwenye sanduku.

Umemtaja Makonda kwamba awe front line, lakini huyu naye si mmoja wao?.
 
Nape na makamba wana uwezo mdogo sana Magu aliliona hilo na mama kaliona
Bora hata January alifit vizuri Foreign. Ila Nape ana uwezo mdogo sana.

Haina tofauti na Mwigulu ambaye kahsribu uchumi wetu saivi tuna crisis ya dola hadi zinauzwa kwa black market.

Nape na Mwigulu ndo wa hovyo zaidi. January alishindwa Nishati ila Foreign palitakata chini yake.
 
Mna muoverrate huyo mama yenu, kwa uwezo gani wa kiuongozi alionao? hizo ni just political games hakuna weledi wowote hapo!
Mkuu umekuja na komenti yako ila hujaelewa andiko lina maana gani?.
 
Dkt Samia anayo nafasi 2025 iwapo atamtoa pia Dkt Mwigulu, na Mh. Bashe. Hawa ndiyo wamebaki wawili waliomshushia Dkt Samia thamani ya urais wake. Tena awatoe haraka sana. Baada ya hapo aende Chato kwenye kaburi akalie machozi na kuomba msamaha.

Baada ya hapo basi ahakikisha watu kama Makonda wanakuwa kwenye usukani. Then ahakikishe awe na raho ya uongozi na kiongozi, akate mizizi yote iliyomlambisha udongo bosi wake kata mpaka shina ng’oa asiishie tu kukata majani yaani na mti kabisa.

Hapo atashinda na kutawala bila wasiwasi ila akiwaacha kitakachotokea ni ya Biden. Ajue kabisa Mama hakuna mtu mbaya ka Mh. Bashe na Mwigulu ndani ha serikali yake nao maana hao wana ambitions za urais hivyo watafanya lolote kuiba na kuhakikisha wanamdhalilisha Dkt Samia ili aonekane ni kashindwa.
Wewe umeongea kwa nia njema..au unasukumwa tu na chuki zako kwa hao watu na ajenda zako za kificho ambazo mwenyewe unatamani zitokee lakini haziwezi kutolea!!!!!!
 
Wewe umeongea kwa nia njema..au unasukumwa tu na chuki zako kwa hao watu na ajenda zako za kificho ambazo mwenyewe unatamani zitokee lakini haziwezi kutolea!!!!!!
Naongea kwa dhati kabisa kwa moyo wa upendo. Mimi kama mwana CCM kindakindaki, Dkt Samia anafaa kuendelea 2025. Nina sababu za kiuchumi na kisiasa za kumsapoti Dkt Samia. Mfano mdogo ni uendelevu wa miradi alioacha Dkt Magufuli, akija mwingine anaweza kudharau. Lakini pia mradi wa Bandari ni muhimu uendelee akija mwingine anaweza vunja mkataba. Kisiasa Dkt Samia anafaa kwa sababu alifanya kazi na mzalendo Dkt Magufuli hivyo anajua alichokuwa anafanya Dkt Magufuli na ndiyo maana tunaona SGR leo inafanya kazi.
 
Naongea kwa dhati kabisa kwa moyo wa upendo. Mimi kama mwana CCM kindakindaki, Dkt Samia anafaa kuendelea 2025. Nina sababu za kiuchumi na kisiasa za kumsapoti Dkt Samia. Mfano mdogo ni uendelevu wa miradi alioacha Dkt Magufuli, akija mwingine anaweza kudharau. Lakini pia mradi wa Bandari ni muhimu uendelee akija mwingine anaweza vunja mkataba. Kisiasa Dkt Samia anafaa kwa sababu alifanya kazi na mzalendo Dkt Magufuli hivyo anajua alichokuwa anafanya Dkt Magufuli na ndiyo maana tunaona SGR leo inafanya kazi.
Yaah, kweli na mtindo wa CCM inaweza kuwa sawa Mama akaendelea ili kukamilisha miradi iliyotumia fedha nyingi kuanzishwa.

Maana kiongozi anayekuja hawezi kukubali kuendeleza miradi isiyomuhusu akijua hana 10% percentage, ili ni tatizo kubwa.

Ila tambua zengwe linalokuja si la kitoto.
 
Back
Top Bottom