GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Jitahidini mumtumie haraka sana Mchovu Mmoja aliyepigwa Bao Mbili za maana Usiku huu ili aiwahi Mechi yenu na Omba Omba FC tarehe 5 Februari, 2024 kwani walioko hawaaminiki nanyi na mkifanya masihara mtaziangusha tena Mbili zingine na kuwapa Green Light Mfalme wa Nyika na Muuza Ice Cream katika Kunyanyua Makwapa yao kwa Msimu huu wa 2023 / 2024.
Kama Uwanja wao Wenyeji wa leo unaitwa Mwangaza wa Taifa ulitegemea kabisa utoke zako na Nuksi za Klabuni Kwako kwenye Mafuriko na Vyura wengi ukashinde na uingie Semi Final kisha ukirejea Tanzania uanze Kumkoga / Kumringishia Mpinzani wako kutoka Uluguruni Mkoani Mara na umwambie Yeye alitoka mapema?
Haupendi UTANI achana na huu Uzi!
Kama Uwanja wao Wenyeji wa leo unaitwa Mwangaza wa Taifa ulitegemea kabisa utoke zako na Nuksi za Klabuni Kwako kwenye Mafuriko na Vyura wengi ukashinde na uingie Semi Final kisha ukirejea Tanzania uanze Kumkoga / Kumringishia Mpinzani wako kutoka Uluguruni Mkoani Mara na umwambie Yeye alitoka mapema?
Haupendi UTANI achana na huu Uzi!