Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ronwen awe kipa mfupi kuliko wote halafu Diarra awe ni nani au yeye ni beki?Ndio maana Mangungu aliwaletea Manzoki kwenye uchaguzi kipa mrefu kuliko wote AFCON alikua wa Mauritania amewasaidia nini? Kipa mfupi kuliko wote ni huyo Williams wa SA unataka kusemaje wewe mbumbumbu?
Ni tatizo anashindwa kujivuta vizuri kufuata mashuti ya mbali mfano goli la kwanza dhidi ya Ivory Coast pale mtu kama Mendy humfungi, Mali wangekuwa na kipa hata wa Mauritania tu wangecheza fainali wana timu bora sana tatzo kipaDiarra ndio kipa mfupi kuliko wote kwenye hii michuano hata kwa kumtazama tu yani unapotosha ili tu kutetea hoja yako, japo na ufupi wake hata hapo alipofika si pabaya maana kuna makipa wengi warefu hawajafika, ufupi ungekuwa tatizo angetolewa hatua za mwanzo kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji817][emoji3581] Wape dose zao wakimeza au wakitema shauri zao! Ni Mnyama tu ndie anayeiwakisha NBC PL huko Pwani ya Pembe Yaani Ivory Coast.Jitahidini mumtumie haraka sana Mchovu Mmoja aliyepigwa Bao Mbili za maana Usiku huu ili aiwahi Mechi yenu na Omba Omba FC tarehe 5 Februari, 2024 kwani walioko hawaaminiki nanyi na mkifanya masihara mtaziangusha tena Mbili zingine na kuwapa Green Light Mfalme wa Nyika na Muuza Ice Cream katika Kunyanyua Makwapa yao kwa Msimu huu wa 2023 / 2024.
Kama Uwanja wao Wenyeji wa leo unaitwa Mwangaza wa Taifa ulitegemea kabisa utoke zako na Nuksi za Klabuni Kwako kwenye Mafuriko na Vyura wengi ukashinde na uingie Semi Final kisha ukirejea Tanzania uanze Kumkoga / Kumringishia Mpinzani wako kutoka Uluguruni Mkoani Mara na umwambie Yeye alitoka mapema?
Haupendi UTANI achana na huu Uzi!
Walikuwa wanaona kama mboga mboga iko robo fainali. Washabiki WA timu hii ni majanga.😂😂Na kwakuwa wengi wao Wana midomo mirefu na michafu nchi ingechafuka
Hahaha kwa afrika kila kitu kinawezekana mkuu, acha tu tuseme kwamba ufupi wa kipa si tatizo ili watu wafurahi, lakini kwa wenzetu huko hawawezi kucheza hii kamari kwa kusema eti kimo cha kipa siyo hojaNi tatizo anashindwa kujivuta vizuri kufuata mashuti ya mbali mfano goli la kwanza dhidi ya Ivory Coast pale mtu kama Mendy humfungi, Mali wangekuwa na kipa hata wa Mauritania tu wangecheza fainali wana timu bora sana tatzo kipa
Sisi inatuhusu nini?Ndiyo wameshafika hivyo Mkuu.
Mtoa mada mwenyewe ni mgeni, CDF anamtafutaKushobokea wageni ni ujuha.
Mbona safari hii hujanitukana tena GENTAMYCINE kuwa Mimi ni Mwendawazimu ( Mental Case ) kama kawaida yako? Kulikoni?Sisi inatuhusu nini?
Hilo swali jiulize wewe mbona skuhizi huwatumi tena rafiki zako kuja kutukana ovyo ovyo kwenye simuMbona safari hii hujanitukana tena GENTAMYCINE kuwa Mimi ni Mwendawazimu ( Mental Case ) kama kawaida yako? Kulikoni?
Pole sana kwa kuwa that DAMN FOOL.Hilo swali jiulize wewe mbona skuhizi huwatumi tena rafiki zako kuja kutukana ovyo ovyo kwenye simu
sawa akili kubwa kwa muda huuPole sana kwa kuwa that DAMN FOOL.
Nincompoop.sawa akili kubwa kwa muda huu
Wale mammbwa nawaçhukia sana nataka wafike fainali ili walikose kombe fainali ili waumie zaidi mammbwa haya ..na iyo itakua laana "karma" ya wao kubebwa na yule refa mfupi kama kibamia ambaye aliwanyima penati senegal na akapigwa marufuku asiçhezeshe tena hii michuanoHahaha hivi hiyo Jumatatu atakuwa amesharudi bongo mkuu, sema binafsi nilitamani Mali washinde asee, Ivory Coast siwakubali wala nini naona kama wamefika hapo kimazabemazabe tu
Hivi huwa huawezi kabisa Kuchangia hapa JamiiForums bila kuwaita Watu ( Wanadamu ) Wenzako Mbwa? Una matatizo gani Wewe?Wale mammbwa nawaçhukia sana nataka wafike fainali ili walikose kombe fainali ili waumie zaidi mammbwa haya ..na iyo itakua laana "karma" ya wao kubebwa na yule refa mfupi kama kibamia ambaye aliwanyima penati senegal na akapigwa marufuku asiçhezeshe tena hii michuano