Watu wanachanganya vitu viwili ambavyo ni muhimu.
Maisha yanajumuisha akili za utambuzi, kuishi na watu technically mana dunia haina hira, kuwepa viunzi vingi vya kifo nk
Pesa au fedha ni ujanja wa mtu tu bila kujali amezipata kihali au la:
Ndo mana wenye pesa mara nyingi wanakufa haraka mana waliowengi wana pesa ila hawana elimu.
Ile survival of the fittest wasomi wanaiishi sana lakini wenye pesa na hawana elimu wanakufa haraka.
Mjumbe hauwawi
Maisha yanajumuisha akili za utambuzi, kuishi na watu technically mana dunia haina hira, kuwepa viunzi vingi vya kifo nk
Pesa au fedha ni ujanja wa mtu tu bila kujali amezipata kihali au la:
Ndo mana wenye pesa mara nyingi wanakufa haraka mana waliowengi wana pesa ila hawana elimu.
Ile survival of the fittest wasomi wanaiishi sana lakini wenye pesa na hawana elimu wanakufa haraka.
Mjumbe hauwawi