Na wakati wa vilio uje useme piaKuvuta jiko A.k.a kuoa
Wale wakataa NDOA mnipite mbali sitaki ukuda
Mchangiaji wa Future nyuzi za Mke wangu analeta usuperstar, hahahaNa wakati wa vilio uje useme pia
Mimi kwangu ni kinyume,nikishamwambia mtu kwamba ninataka kufanya kitu fulani,ndo ninafanya.Kuna nguvu ktk kutamka.Kuna ndugu nilikuwa nawaambia,nataka nifanye 1,2,kabla mwaka haujaisha.Tena alinihoji utawezaje maana kuna ada za watoto nk.Huwezi amini malengo yangu yametimia.Glory to God!Utafiti unaonyesha mtu anayeandika malengo yake hovyo na kuyasemasema kwa kila mtu anajipunguzia uwezo wa kuyatekeleza.