BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
Sababu huwa sura ndo inanzingua kuna dada tulipokuwa faragha akavua braa jamani maziwa yalifunguka kama zulia yalikuwa yamepigwa jeki ya ukweli!wat wil it cost u gals to remain real
kama nayaona vile....ha ha ha!..siku nyingine uangalie uumbaji wote yani juu mpaka chini siyo sura tu🙂 he he
Kuna jeki zingine za matiti zinazidisha upepo hata haipendezi tena na mtu anakuwa hana amani na alivyovaa!!..