Wanaboard.Kuna baadhi yetu huwa tunapenda ikiwa ni mojawapo ya maandalizi ya kusex,kunyonyana ndimi na midomo.Sasa kumekuwa na msisitizo sana wa ngono salama ni kuvaa kondomu.Je mtindo huu wa kunyonyana ndimi na midono kuna uwezekano wa maambukizi ya UKIMWI au la?Wenye uzoefu na utaalamu watujuze tafadhali.Naomba kuwasilisha