Tuelimishane juu ya Katiba mpya tunayoitaka

Tuelimishane juu ya Katiba mpya tunayoitaka

Mangaline

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2012
Posts
1,045
Reaction score
221
Katika mchakato unaoendelea wa uteuzi wa wajumbe wa kamati ya kata ya katiba mpya, tumehamasishwa vya kutosha, na bahati nzuri au mbaya tumechaguliwa katika ngazi za Vijiji kuwa miongoni mwa watakao kwenda katani kugombea ujumbe wa kamati ya katiba ya kata. Kwa bahati mbaya zaidi, misukumo ya kugombea kuwa mjumbe, ilikuwa zaidi kiitikadi za vyama na pengine dini. Ninachofahamu, yako mengi zaidi ya itikadi za vyama na udini. sasa yapi mengine ambayo ni muhimu zaidi katika mchakato wa kupata katiba tunayoitaka, ili tujiandae na kujielimisha ili tuyatetee kwa nguvu zote??? Nahitaji constructive comments tafadhali.
 
Katiba mpya iondoe chuki za kidini, ilitolee ufumbuzi suala la kuchinja (Wakuu wa dini wakae pamona walijadili then liwekwe kwenye katiba)
 
Tanganyika ndio hamna katiba,tafuteni katiba ya tanganyika kwanza,zanzibar wao wana yao.
 
Ni vema wananchi wenye kwa hiari zao waondoe tofauti hizo kwa kuwa kuna uwezekano wa kuja kuhangamiza kizazi kijacho maana chenyewe ndicho hasa kinahusikaaa
 
Back
Top Bottom