road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,021
Na kama utafuatilia kwa umakini wengi wametumia kofia ya uwaziri kuusaka ubunge na wamefanikiwa !!! Na wananchi wengi ni wajinga wanakwambia wanataka mbunge ambaye ni waziri!!!!/ hapo panashida kubwa ninafikiri bunge lilivyo vunjwa kila kitu kilitakiwa kuwa disolved na makattibu wakuu wachukue nafasi za mawaziri!!!!