Tuendelee kuenzi na kukumbuka falsafa za shujaa wetu Hayati Magufuli

Tuendelee kuenzi na kukumbuka falsafa za shujaa wetu Hayati Magufuli

Magu hakuua mtu. Kiulize KITI.

Wewe ni mmoja ya waliouawa?

Tunamkumbuka Shujaa, MZALENDO, mwanamapinduzi, mwenye uthubutu, mpenda HAKI Kwa maskini.

Bado maumivu hayajaisha Hadi pale MAONO yake yatapotimia.
Kwanini hampendi kusikia au kuona upande mwingine wa Magufuli? Hamuoni kwamba kuna mengi mabaya pia alitenda?
 
Kwanini hampendi kusikia au kuona upande mwingine wa Magufuli? Hamuoni kwamba kuna mengi mabaya pia alitenda?
Tungeangalia upande wa pili ikiwa Yu hai, au angetuachia kitabu tukisome.

Tamaduni zetu Afrika hatuendi Kwa wafu kuwalaumu, tunajifunza mema yake.

Ikiwa Kuna watu walitendewa mabaya KITI KIPO, kiwachukulie hatua.

Leo tunamkumbuka Rais JASIRI, MCHAPAKAZI, MCHA MUNGU,

Nchi nzima ameacha ALAMA zake, ndomana hakuandika kitabu, tunazisoma KAZI zake.

Ktk issue ya COVID he was a PROPHET.
 
Alikuwa adhimu na mwenye nia
Shujaa mwongoza njia
Wanyonge walimkimbilia
Tumaini lao walimpatia
Miradi iliendelea
Uchumi wa kati tukaingia
Kufanya kazi alizingatia
Uvivu hakuvumilia
Nchi nzima alitembelea
Wananchi, hali aliwajulia
Tumshukuru Jalali
Kwa kiongozi aliyetupatia
 
Anzisheni chama chenu mkiite Genge S.
Tungeangalia upande wa pili ikiwa Yu hai, au angetuachia kitabu tukisome.

Tamaduni zetu Afrika hatuendi Kwa wafu kuwalaumu, tunajifunza mema yake.

Ikiwa Kuna watu walitendewa mabaya KITI KIPO, kiwachukulie hatua.

Leo tunamkumbuka Rais JASIRI, MCHAPAKAZI, MCHA MUNGU,

Nchi nzima ameacha ALAMA zake, ndomana hakuandika kitabu, tunazisoma KAZI zake.

Ktk issue ya COVID he was a PROPHET.

Alikuwa adhimu na mwenye nia
Shujaa mwongoza njia
Wanyonge walimkimbilia
Tumaini lao walimpatia
Miradi iliendelea
Uchumi wa kati tukaingia
Kufanya kazi alizingatia
Uvivu hakuvumilia
Nchi nzima alitembelea
Wananchi, hali aliwajulia
Tumshukuru Jalali
Kwa kiongozi aliyetupatia
 
Tungeangalia upande wa pili ikiwa Yu hai, au angetuachia kitabu tukisome.

Tamaduni zetu Afrika hatuendi Kwa wafu kuwalaumu, tunajifunza mema yake.

Ikiwa Kuna watu walitendewa mabaya KITI KIPO, kiwachukulie hatua.

Leo tunamkumbuka Rais JASIRI, MCHAPAKAZI, MCHA MUNGU,

Nchi nzima ameacha ALAMA zake, ndomana hakuandika kitabu, tunazisoma KAZI zake.

Ktk issue ya COVID he was a PROPHET.

Yule damu za watu zinamlilia. Kiongozi mbovu kuwahi kutokea.
 
Anzisheni chama chenu mkiite Genge S.
Hatutoki ng'o.

Tutawafurusha waizi wote, CCM ya Nyerere itarudi.

Watu tuko msibani unatukumbusha tusome RISALA ya mabaya ya marehemu,

Shukuru mitandao ya kijamii, saiz ungekuwa na Hal mbaya.😠😠
 
Azidi kuteseka motoni huko bedui asiye na huruma yule.
 
Back
Top Bottom