Tuenjoy maisha ndugu zangu, maisha yenyewe mafupi haya

Tuenjoy maisha ndugu zangu, maisha yenyewe mafupi haya

Vitabu vya dini vinasema kuna maisha huko mbinguni baada ya kifo, ndugu zetu waislamu wameahidiwa mabikra 72 huko peponi.

Yote yaliyosemwa kwenye vitabu vya dini kuhusu maisha baada kifo imebakia kuwa fumbo kwetu, maana hakuna aliyeenda huko na kuleta mrejesho, hata yesu mwenyewe alisema atarudi, ila mpaka leo bado hajarudi.

Tuenjoy maisha ndugu zangu, najua kuna kipindi tunapitia magumu yenye maumivu makali, ukipata time ya kuenjoy maisha enjoy maisha yenyewe mafupi haya.

Kitu nimejifunza hapa Dunian ni kufarahia maisha,
Maisha ni mafupi mno,basi yafurahie yaani furahia.
Epuka na muepuke mtu atakayekufanya uwe na stress,
Viepuke/epuka Chochote kitakakusababishia stress,hakikisha maisha yako yaliyobakia hapa Dunian unayafurahia,
hatakama ni mke/mume/girlfriend/boyfriend
anakukosesha amani muepukeee.

unastahili furahia kwenye maisha yako
 
Kitu nimejifunza hapa Dunian ni kufarahia maisha,
Maisha ni mafupi mno,basi yafurahie yaani furahia.
Epuka na muepuke mtu atakayekufanya uwe na stress,
Viepuke/epuka Chochote kitakakusababishia stress,hakikisha maisha yako yaliyobakia hapa Dunian unayafurahia,
hatakama ni mke/mume/girlfriend/boyfriend
anakukosesha amani muepukeee.

unastahili furahia kwenye maisha yako
Una ndugu unaishi naye kwako lakini msumbufu muda mwingi anakutia stress, arudi kwa mama yake akamsumbue
 
Back
Top Bottom