Bulelaa
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 1,342
- 3,247
Kwa masikitiko makubwa, nashangaa kuona eti maisha na uhai wa watu unaweza kukatishwa kwa sababu zinazoitwa ni Siasa!
Ni ujasiri uliopita kiwango cha Rehema za Mungu, mtu anapoamua kumdhuru mtu, kumtesa na kumwaga damu yake kwa madai ya kuendelea kubaki kwenye nafasi za kisiasa huku akijua dhahiri naye ni yule yule mwanadamu mwenye nyama na uhai ndani uleule wa mtu anayemwaga damu yake, na kwa namna nyingine, yeye pekee ndiye mwenye kujihesabia haki juu ya uhai aliotugawia bule Muumbaji wetu.
Je, uhai ni zaidi ya siasa au Siasa ni zaidi ya uhai?
Je, tuepushe kipi kati ya UHAI na SIASA?
Au iko mbinu mpya ambayo hatujawahi kuitumia ili kwa hiyo, siasa tuione ni rafiki wa Uhai wetu?
Siasa za Tanzania na Afrika kwa ujumla, nimezinyoshea mkono!
Pia soma:Maandamano kupinga mauaji na watu wasiyojulikana yanatakiwa kuwa ya wananchi wote bila kujali dini wala chama cha siasa
Ni ujasiri uliopita kiwango cha Rehema za Mungu, mtu anapoamua kumdhuru mtu, kumtesa na kumwaga damu yake kwa madai ya kuendelea kubaki kwenye nafasi za kisiasa huku akijua dhahiri naye ni yule yule mwanadamu mwenye nyama na uhai ndani uleule wa mtu anayemwaga damu yake, na kwa namna nyingine, yeye pekee ndiye mwenye kujihesabia haki juu ya uhai aliotugawia bule Muumbaji wetu.
Je, uhai ni zaidi ya siasa au Siasa ni zaidi ya uhai?
Je, tuepushe kipi kati ya UHAI na SIASA?
Au iko mbinu mpya ambayo hatujawahi kuitumia ili kwa hiyo, siasa tuione ni rafiki wa Uhai wetu?
Siasa za Tanzania na Afrika kwa ujumla, nimezinyoshea mkono!
Pia soma:Maandamano kupinga mauaji na watu wasiyojulikana yanatakiwa kuwa ya wananchi wote bila kujali dini wala chama cha siasa