Tufahamiane kabla ya kumaliza mwaka 2017

Kwa kutia nyama uzi ingependeza zaidi tufahamiane kwa majina yetu halisi,miaka,sehemu tulipo ila ziwe za ukweli wana ndugu,marital status,Sex,Age na kadhalika.

Karibun wadau twende kazi.
Hizo info zote zina umuhimu gani mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…