[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Nauza, Nakodisha, Nakopesha na Naazimisha Majini
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Kazi yangu kubikiri
Fundi majeneza & mochwari attendantWengi wamejiajiri wengine wameajiriwa wengine wako busy na biashara zao. Career ni nyingi. Baadhi hawana kabisa kazi.
Uzi huu special kufahamiana zaid Ila Kwa ufupi.. Andika kazi unayofanya
Tukianza na mimi mwenyewe bwana AFYA WA wilaya FULANI hapa nchini
kwa nini ifutwe
Nasubiri kupangiwa kazi nyingine
Tangu alipoyazoea Majengo meupe na milio ya TausiWamekutumbua lini
Naota ndoto za watu kufa afu naishi kisongo.Wengi wamejiajiri wengine wameajiriwa wengine wako busy na biashara zao. Career ni nyingi. Baadhi hawana kabisa kazi.
Uzi huu special kufahamiana zaid Ila Kwa ufupi.. Andika kazi unayofanya
Tukianza na mimi mwenyewe bwana AFYA WA wilaya FULANI hapa nchini
Hahaha pole nying kwenu.. Mliichagua wenyeweMimi bado naisoma 1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12 13,15,16,29,30....
Mzee wa ubuyuKazi zangu ni umbea unafiki uzandiki na kufitinisha [emoji4][emoji2]