Tufahamiane Kwa kazi tunazofanya kuingiza vipato

Tufahamiane Kwa kazi tunazofanya kuingiza vipato

Nitwa Jonh Albert Mwaulaya, fuatilia vizuri na kuulizia utaijua kazi yangu.
 
Kazi zangu ni umbea unafiki uzandiki na kufitinisha [emoji4][emoji2]
 
Wengi wamejiajiri wengine wameajiriwa wengine wako busy na biashara zao. Career ni nyingi. Baadhi hawana kabisa kazi.
Uzi huu special kufahamiana zaid Ila Kwa ufupi.. Andika kazi unayofanya
Tukianza na mimi mwenyewe bwana AFYA WA wilaya FULANI hapa nchini
Fundi majeneza & mochwari attendant
 
Wengi wamejiajiri wengine wameajiriwa wengine wako busy na biashara zao. Career ni nyingi. Baadhi hawana kabisa kazi.
Uzi huu special kufahamiana zaid Ila Kwa ufupi.. Andika kazi unayofanya
Tukianza na mimi mwenyewe bwana AFYA WA wilaya FULANI hapa nchini
Naota ndoto za watu kufa afu naishi kisongo.
 
Mimi bado naisoma 1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12 13,15,16,29,30....
 
Mimi ni mfanyabiashara mkubwa sana hapa nchini, nisipo-import nchi inasimama!!!
 
Back
Top Bottom