Tufahamiane: mimi ni tajiri mkubwa mwanza mjini wewe je ?

Tufahamiane: mimi ni tajiri mkubwa mwanza mjini wewe je ?

Maduka yote makoroboi na meza zote mlango mmoja Mza ni zangu.
 
Aisee...baadhi ya watanzania ni wapesi wa wengi mmehisi ni tajiri wa pesa kumbe anaweza akawa tajiri wa mirupo tu au hata akawa hata tajiri mapenzi kama baadhi yao wanavyowafagilia watu wa tanga nao ni matajiri wa mapenzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi Authorized Mvuvi Hapa Igombe!!!

KIMEO CHANGU
 
Kuna rafiki Yangu jambazi mkubwa sana hapo mwanza itabdi nmukutanishe na tajiri
 
Back
Top Bottom